Kwa wale ndugu zangu wenye mawzo mazuri ya kilimo na ufugaji wakati ni huu tumia fursa hii bofya hapa AECF Agribusiness Africa Window Great Business Ideas
Mimi ni mkulima mdogo wa machungwa niko Muheza Tanga. Ila kwa mwaka huu wakulima wa machungwa tumeangukia kabisa kwani machungwa yanaoza wanunuzi hawaonekani Tumezoea ikifika mwezi huu wa Tisa...
Profesa Aboud
Kwa ufupi
Watanzania wengi wangeweza kulima mboga, hivyo kuwasaidia kiuchumi kupitia njia hii.
Watu wengi katika jamii za mijini wameshindwa kuendesha shughuli za kilimo...
Habari wanajamvi
Katika pita pita zangu kwenye mitandao nimeona aina ya kuku ambayo sikupata kuisikia - BUKINI. Najua kuwa kuna BATA BUKINI kumbe sasa hata KUKU BUKINI wapo? Kwa wale...
Tunaendelea na Muendelezo wetu wa jinsi ya kushinda na uwe katika mafanikio katika biashara ya network marketing( Biashara ya Mtandao ) sehemu ya pili tulielezea sababu za kushindwa kufanikiwa...
Igweeee..
Ni matumaini yangu mu-wazima wa afya.
Naamini wafugaji wakuku mnatambua uwezo mkubwa wa kuku katika kutambua hatari iliyo mbele yake; kama vile mwewe, kipanga, mbwa, paka, nyoka na...
Wapendwa
Kwa muda sasa naona mbegu za Mapapai zilizoko sokoni, ni Malikia kutoka China tena kwa bei ya juu sana (around 15,000shs pct ndogo)
Ina maana sisi (TANZANIA) hatuna mbegu zetu mbadala...
Kilimo hai au organic farming ni aina ya kilimo kinachozingatia matumizi endelevu ya rasilimali za uzalishaji wa mazao ya kilimo na mifugo. Kilimo hicho kinatumia mbolea na madawa yasiyotengenezwa...
Habari zenu Wajasiliamali!
Nakuja tena wadau hasa kwa wale wenye idea juu ya zao na la karanga katika soko na kilimo chake naombeni uzoefu wenu,juu ya zao ilo na changamoto zake hasa katika...
Mradi mkubwaa wa kilimo cha kisasa cha kibiashara zao la korosho na alizeti, waanza kupitia kampuni ya namaingo business agency ltd.
Mkurugenzi wa kampuni ya Namaingo anapongeza uongonzi wa...
Pamoja na umuhimu wa zao la nyanya, wadudu waharibifu na magonjwa huathiri uzalishaji na ubora wa matunda. Sasa ili mkulima aweze kupata faida na kuongeza pato lake ni vema kuzingatia udhibiti wa...
Kwenye Kilimo kuna Chaine kubwasana.
1. Kuna wauzaji wa pembejeo za Kilimo hao nao ni wakulima.
2. Kuna Wanao toa mikopo ya Kilimo pekee.
3. Kuna wakulima wenyewe.
4. Kuna Processor wa Mazao...
Habari za zenu!
Napenda leo kushea makala hii ndogo niliyoiandaa inayozungumzia masuala ya ulipaji wa kodi katika shughuli za kilimo. Na nimeona niilete makala hii hususani katika jukwaa letu...