Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari ndugu zangu, naomba kujua kuhusiana na kilimo cha maua kama vile waridi (roses). Ikiwa kuna mtu anafanya hiki kilimo au ana ufahamu nacho ni vema ukashea uzoefu wako hapa kwa manufaa ya...
0 Reactions
124 Replies
42K Views
Kifaa hiki chenye uzito wa kilo 18 kina uwezo wa kubeba kilo 80. Humuwezesha mtu kufikia juu ya manzi na kuangua nazi. Kifaa hiki kilivumbuliwa kutokana na idadi ya wakwezi wa jadi kupungua na...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau, naomba kusaidiwa kufaham maeneo ya magodown ambapo naweza kupeleka mazao ya kunde nk kwa ajili ya mauzo. Asante.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari za jioni nmepata hekari 1000 ambazo zipo kwajili ya kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga na hizo zimetolewa na serikali ya kijiji kwenye wilaya maarufu ya kilimo cha mpunga mashariti...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari za asubuhi wanajamvi, mimi ni kijana niliyeamua kujikita katika ufugaji kama njia mbadala ya kujiongezea kipato. Nilianza na nguruwe 6 ambao wanaendelea vizur (wale wenye mabaka meusi)...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wasalama Wana jamvi Mimi ni mtanzania ambaye nimeitikia wito wa Serikali wa kulima kilimo cha korosho katika mkoa wa Tabora wilaya ya Kaliua na mpaka sasa nina ekari 20 za korosho zenye umri...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Muhogo ni zao la chakula na biashara lakini siku za hivi karibuni limeonekana kushamiri sana katika uwanda wa biashara kwa kusaidiana na kushirikiana na mashirika mbalimbali ili kupendeleza...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Kuku aina ya sasso wanaanza kutaga baaba ya muda gani. Au ni kama kuku wa kienyeji
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Campaign kubwa ya Kitaifa ya Cassava for life yazinduliwa Kilindi Mkoani Tanga. Naibu wa Waziri wa Kilimo Mh Omary Mgumba amezindua kampeni kubwa sana Nchini ya Cassava for life Kilindi Mkoani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari waungwana. Kuna mwenye ufahamu wa yalipo mashamba ya mpunga ya scheme ya umwagiliaji Ruvu? Au mwenye taarifa kuhusu kilimo katika scheme hii aelezee tafadhali. Shukran.
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Habarin wadau kwa mwanakilimo yoyote ili afanikiwe lazima ajiongeze na kwa sasa ajira ni ngumu sana. Jongoo wamekuwa kimbilio kubwa la utajiri kwa sasa huna haja ya kutumia pesa ndefu kuwekeza...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Wanajukwaa nawasalimu. Hivi gharama za kuunda ngalawa yenye uwezo wa kubeba hadi tani 1 ya mzigo...inaweza kuwa bei gan?? Na ni wapi hasa wanapatikana wahunzi wabobezi katika ukanda wa pwani?!?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jf nakuombeni kujua zaidi ni wapi hizo lishe za ng,ombe mmoja kuongezeka kilo 2 na nusu kwa siku zinapatikana wapi katika mikoa ya Arusha na Moshi Natanguliza shukran
0 Reactions
31 Replies
16K Views
Habarini za siku. Naomba kujua idadi ya miche ya minazi inayoweza kupandwa kwenye eka moja ya ardhi. Pili nataka nijue aina ya mbegu bora kwa mazingira ya mkoa wa Pwani.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari za wakati huu, naimani ni wazima bukheri wa afya na mungu anaendelea kutupigania kila iitwapo leo. Niende kwenye mada moja kwa moja. Binafsi nimekuwa na mpango mkakati kwa muda sasa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nahitaji MTU wa kuniuzia dawa zifuatazo kwa bei ya jumla,amprolium,salfa dimin,s-dime,chick formula,OTC powder,trifarm,esb3,egg boosta,ascarex,piperazine,ant cocidiosis,farm acid,layer premix,na...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, naishi Rufiji Bungu, ni eneo linalojishughulisha sana na shughuli za kilimo hasa mihogo, ufuta na korosho. kipindi hiki ni kipindi ambacho ufuta unavunwa...
3 Reactions
8 Replies
4K Views
Habarini za wakati huu wanaJukwaa Kwa yeyote mwenye kujua dawa ya hawa wadudu anisaidie iwe ya kienyeji au ya kitaalam ntashukuru..!
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Ninatafuta partner kuwekeza kwenye Kilimo Tango. Tufanya mazao mbalimbali lakini mazao yanayouzwa vizuri
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam wanabodi Naomba link ya kujoin whatsap group la wafugaji wa ng'ombe na mbuzi, Nategemea kuanza ufugaji, hivyo nahitaji maarifa kutoka kwa wafugaji na wadau kutoka huko. Nategemea msaada...
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…