Ng'ombe mmoja kuongezeka Kilo 2 na nusu kwa siku

Alvin Slain

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
6,375
3,654
Habari wana jf nakuombeni kujua zaidi ni wapi hizo lishe za ng,ombe mmoja kuongezeka kilo 2 na nusu kwa siku zinapatikana wapi katika mikoa ya Arusha na Moshi Natanguliza shukran
 
Nafikiri ukiwasiliana na wale jamaa sijui wapo Morogoro....wanaweza kukutumia!!
 
mkuu nijuavyo mimi hii ni aina ya ng'ombe wa nyama wenye sifa ya ukuaji wa aina hii na tena kuna wengine wanaongezeka uzito kwa kila saa 1. Ng'ombe wa maziwa au wa kienyeji hata umlishe nini hawezi kuongezeka uzito kwa kiwango hicho.
 



Miezi sita atakuwa na kg 450 ?


Bei ya nyama 5,000 x 450 - (ngozi, utumbo, miguu kg 150) = 1,500,000/=
 
Du wakuu hawa watakuwa ni salama kwa mlaji kweli? Nahisi haya ndio kati ya mambo yanayotusababishia maradhi ya ajabu ajabu duniani!
 
mkuu nijuavyo mimi hii ni aina ya ng'ombe wa nyama wenye sifa ya ukuaji wa aina hii na tena kuna wengine wanaongezeka uzito kwa kila saa 1. Ng'ombe wa maziwa au wa kienyeji hata umlishe nini hawezi kuongezeka uzito kwa kiwango hicho.
mkuu umebobea sana.
 
mkuu nijuavyo mimi hii ni aina ya ng'ombe wa nyama wenye sifa ya ukuaji wa aina hii na tena kuna wengine wanaongezeka uzito kwa kila saa 1. Ng'ombe wa maziwa au wa kienyeji hata umlishe nini hawezi kuongezeka uzito kwa kiwango hicho.[/QU je kama unasema ng,ombe wa maziwa hawez kukua haraka kias hicho mbona waziri mwenye dhamana ya wizara husika alisema ng,ombe wa aina zote wanafaa kutumia au ni muongo?
 
Kuna programu ya kunenepesha ng'ombe.. analishwa majani yenye ubora.. chumvi.. sukari guru na wanpewa chanjo za minyoo na magonjwa mengine... ukiwa na mbegu bora ya ng'ombe... inawezakana kabisa... hii ni kwa mujibu wa maongezi ya na Professor Mulozi.. yuko SUA Morogoro.. na mwongozo upo..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom