Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Naomba msaada wa ramani za ujenzi wa banda la kuku wa kisasa na kienyeji kwa aliye nayo.
1 Reactions
13 Replies
9K Views
Wanajamvi nimekuwa mfugaji wa ng'ombe wa maziwa wa kuchunga kwa miaka kama 10. Hata hivyo nimepata changamoto zake hasa upande wa magonjwa na kesi za majirani kila wakati. Pia wezi wanathaminisha...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Katika hotuba ya Mhe. Rais leo anasema watu wake walipenyeza sampuli za mapapai na mafenesi katika maabara ya Vipimo vya COVID-19. Ikagundulika vina Corona. Hali hii inaweza kuleta athari mbaya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za mdaa huu wakuu. Najipanga kununua trekta kwa ajili ya kilimo hivyo basi naomba wale wenye uziefu na matrekta mnipe ushauri wa ipi trekta bora kati ya new Holland na John Deere...
2 Reactions
30 Replies
18K Views
Kwa formular nyingine za chakula cha kuku waweza ni PM tukazungumza friendly bila tatizo. Maana kila formular moja ya chakula cha kuku iko na option 4. (Hapo juu ni option moja wapo ya broiler...
3 Reactions
22 Replies
23K Views
Hello JF members! Natoa shukrani za dhati kwa hili jukwaa. Ni kwa namna nyingi nimenufaika nalo. kwa wale wanaotaka kujifunza kutengeneza mkaa nimewaanzishia huu uzi. Najua wapo walioamua kuuza...
5 Reactions
29 Replies
25K Views
SASSO, ni aina ya Kuku na vile vile ni Brand name ya kampuni kubwa kabisa ya kuku wa SASSO iiyopo Ufaransa na SASSO walianzia huko Ufaransa mwakma 1978 SASSO ni free range chicken yaani ni kuku...
6 Reactions
32 Replies
50K Views
Habari zenu Mimi ni msichana na Mkulima mchanga nipo Mkoa wa Kilimanjaro. Ni mwaka wa pili sasa tangu nimeanza kilimo. Naomba mniunganishe la group la wakulima wenzangu kutoka Kilimanjaro au...
6 Reactions
32 Replies
6K Views
Habarini wadau, Ninaomba kuuliza MWANI ni zao gani maana nimeanza kulisikia muda na wanalitumia kwanini, ni kwa chakula au nini? Natanguliza shukrani.
0 Reactions
20 Replies
18K Views
Mara nyingi kutokana na namna ya maisha na katika kupambana na gharama za maisha watu wamekuwa wanahangaika kutafuta namna ya kuzungusha pesa zao hasa katika njia zenye matokeo yenye mrejesho wa...
4 Reactions
10 Replies
5K Views
Nimepanda mahindi yangu na mwanzo nilipambana na viwavi jeshi. Sasa huyu ndege analeta madharau. Je, nimmalizie au Kigwangala atakuja juu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Pia nitashukuru nikipata bei zake kwa kilo moja inasimama bei gani nahitaji kilo 300 kuja juu... ahsante
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habarini ndugu zangu natumai mko vyema na majukumu yenu ya kila Siku ya maisha. Ningependa kutumia nafasi hii kupewa elimu juu ya kilimo cha mahindi. Swala langu limejikita sana katika kufahamu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tafadhali nipeni msaada wazoefu, msimu gani unafaa kwa kilimo cha mazao tajwa hapo juu,pamoja na gharama zitakazotumika kuhudumia,lengo langu ni 50M mtaji nilionao cash ni 10M ,lengo langu kuwa...
1 Reactions
43 Replies
13K Views
Fiwi ni zao ambalo linawatoa sana wakulima wa mikoa ya Kilimanjaro (Mwanga, Same) na Tanga (Mombo). Soko lake hasa ni KENYA. Sasa kwa wazoefu na wajuzi naomba kujua ikiwa kuna mbegu maalumu ama...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Mkazi wa Njombe, Steven Mlimbila maarufu kwa jina la ‘Nemes’ alipofukuzwa kazi hakudhani kama angeweza kusimama tena. Mlimbila aliamini ndoto zake kiuchumi zimekufa kwa sababu ya kuondolewa...
8 Reactions
18 Replies
6K Views
Wadau kwa wanaofahamu kilimo hiki, naomba ushauri wa kitalaamu, nahitaji kulima kilimo cha viungo (spices)? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Ni ukweli wa wazi kuwa wakulima wengi wanamiliki pikpiki hasa za kichina na India. Lakin zinatumika kwa usafiri tu. Nina wazo la kuongeza kifaa kidogo ili hiyo hiyo pikipiki iweze kumpeleka mtu...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Ninataka kufuga nyuki wadogo, maeneo ya Kibaha!! Ninaomba mwenye uzoefu anijuze wapi nitawapata nyuki na gharama zake zipoje!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ningependa kufahamu ni maeneo gani kwa Tanzania naweza kufanya kilimo cha watercress.
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…