Kabla ya kuendelea na mada husika ningependa kwanza tuelewe maana ya ujuzi. UJUZI ni maarifa aliyonayo mtu katika kubuni, kufikiri, kuunda na kutenda jambo au kitu kitakachomsaidia yeye mwenyewe...
NATAKA TANZANIA IWE YA MAFANO DUNIANI (USHAIRI)
---------------------------------------------------
maono yalo moyoni, kichwani mwangu akili
asilimia Imani, naona hiyo fahali
Miji paka jijini...
UTANGULIZI.
Kwa miaka mingi sasa Jeshi la Polisi limekuwa likilalamikiwa na wananchi pamoja na taasisi mbalimbali zinazojihusisha na haki za binadamu na uhuru wa watu kwamba linajihusisha na...
Tanzania, kama ilivyo kwa mataifa mengi duniani, inajitahidi kuunda jamii yenye usawa zaidi. Usawa wa kijinsia umekuwa kipaumbele katika ajenda za kitaifa na kimataifa, na kwa hakika, tumepiga...
Tanzania ni nchi yenye amani iliyosheheni watu wa rika zote. Kijana wa Tanzania Tuitakayo ni mfano wa kisiwa katikati ya bahari.
Hivi ndivyo ninavyomfananisha kijana mmoja aliye katika jamii...
1. Usawa:
Usawa ni kipengele muhimu katika kujenga taifa lenye mshikamano na maendeleo ya kudumu. Tanzania inahitaji kuzingatia usawa katika nyanja mbalimbali
Kijinsia:
Lengo ni kuhakikisha kuwa...
I envision our country as having immense potential to become the business hub of Africa. Blessed with natural harbors and bordered by eight countries, many of which are landlocked, we possess a...
Serikali inapaswa kuongeza idadi wa madaktari wa kike ,ili Wawa hudumie Wana wake pale wanapofika hospitalini.
Kufanya hivyo kutapunguza unyanyasaji wa kijinsia na kuongeza ufanisi wa kazi...
Kijana mwenye adabu kamwe awezi kukaa kwenye kiti iwapo kuna mzee kasimama, iwe kwenye daladala au sehemu nyingine, na hii ni kulingana na hii ni kulingana na utamaduni wetu wa kitanzania, lakini...
Utangulizi
Katika moyo wa Afrika Mashariki, Tanzania inasimama katika njia panda kati ya mila na uvumbuzi. Ikiwa na idadi kubwa ya vijana, taifa lina hazina ya uwezo ambao bado...
Mabadiriko yanatakiwa kufanyika katika utendaji wa Takukuru na CAG ili kuzuia ubadhirifu na ufisadi katika miradi na fedha za uma zinazotolewa na serikali. Kama sheria ya 2007 inayoipa takukuru...
Kumetokea sasaiv wimbi la vijana wasiotaka kuoa lakini wana vipato vizuri, wengi wao wanasingizia kuwa bado hawajajipanga, lakini hao hao ndio wanaongoza kufanya uasherati wamekuwa wanawapa...
Wakazi wa Mwanza ukaushaji dagaa bado ni kitendawili kwao kutokana na mwalo wa kuanikia dagaa kujaa maji.
Wakizungumza na NyakiTv wakazi wa Kijiwenu Chifunfu Sengerema Mwanza wameeleza changamoto...
Kilimo ni ukombozi, japokuwa kwa nchi yetu kinaonekana ni kazi ya walala hoi, isiyo na thamani na inayowahusu watu masikini. Kwa kupitia uzoefu mdogo nilioupata kwenye kilimo, ninadiriki kusema...
The Digital Maasai: Empowering Tanzania's Indigenous Communities Through Technology
As the sun rises over the Serengeti, Kipas, a young Maasai herder, stands atop a rolling hill. In one hand, he...
I. A Coast Adrift: Challenges and a Vision for Change
The azure waters lapping Tanzania's shores hold a story of stark contrasts. While tourists marvel at pristine beaches and vibrant marine...
Pendekezo la Kuongeza Matumizi ya TZS na Kupunguza Matumizi ya USD kwa Miaka 25 Ijayo
Utangulizi
Kufikia Tanzania tunayoitaka inahitaji mikakati madhubuti ya kuimarisha ustawi wa uchumi. Moja ya...
Kwa miaka mingi sana Tanzania imekua ikipambana na watu wenye imani potofu juu ya watu wenye ualbino( albinism). Watu wanatakiwa kujua kwamba albino ni sawa na binadamu wengine ikiwa tu yeye...
Mazingira ni vitu vyote vinavyotuzunguka venye uhai na visivyo na uhai kama nyumba,mimea,watu,wanyama,hewa nakadhalika.
Mazingira machafu yanaweza kuongeza usambaaji wa magonjwa ya mlipuko kwa...
STORY OF CHANGE
NINI CHA KUFANYA ILI KUBORESHA SEKTA YA AFYA KATIKA MIAKA 5 IJAYO NA KUENDELEA
UTANGULIZI
Tanzania ya Sasa Imeendelea Katika Sekta mbalimbali Tofauti na hapo Mwanzo katika Miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.