Kindly assist with a wide circulation of UNFPA's two adverts, namely:
1. Program Finance Analyst (NOA) Fixed-term (based in Dar-Es-salaam) with a deadline for submitting the application being 1st...
Advans bank ilitangaza nafasi za Junior Community Development officer.
Leo nimepigiwa kuitwa kwa usahili kesho kwa bahati mbaya nipo unguja shamba mtandao wa tigo unasumbua na sijaelewa eneo ila...
Ndugu zangu wapendwa,
Kumekuwa na mashirika mengi ya kienyeji na ya kimataifa yanayotangaza kazi hapa Tanzania na kwingineko. Nimesoma jumbe za watu mbalimbali kuhusu Horn of Africa Relief Aid na...
Habari wana jamii! Mimi ni muhitimu wa shahada ya kwanza ya elimu kutoka chuo kimoja hapa nchini . Nilimaliza chuo mwaka jana 2014 na nikabahatika kupangiwa ajira mpya za ualimu juni mwaka huu ...
Naomba mwenye ufahamu atoe ufafanuzi wa waraka huo wa serikali unasemaje watu walioko kwenye ajira ya serikali kutokuomba kazi nyingine ya serikali ikitangazwa.CAC.45/257/01/D/140 dated 30/11/2010
Wajamen wana JF
Nimetumia kila mbinu kupata kazi sijafanikiwa. Nakumbuka nilikua nikitoa copies za vyeti na CV nyingi sana kama zaidi ya 200, nikaanza kua nazitembeza na kibegi changu cha kisomi...
Habarini za humu wandugu,
Naomba kuuliza waliofanya oral interview utumishi nafazi mbalimbali za tan trade mbona kimya? kada nyingine zote walipangiwa vituo hata wale waliofanya baadae.
Wenye...
Wale walioko kwenye ajira na wangependa kubadili eneo la ajira na mwajiri angalieni hapa TCU - Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania wametangaza ajira.
Au wale waliomaliza vyuo ila wako mtaani hawajapata...
Natafuta mfanyakazi wa Saloon ya Kike,eneo la Kazi lipo MBEZI YA KIMARA,awe anajua shughuli zote za saloon ya Kike,itakuwa vema akiwa anaishi eneo jirani na eneo la kazi,tuwasiliane kwa 0763 47 47 73
zikiwa zimebaki siku 2 kufika deadline ya TRA bado sijafanikiwa kuapply............................Sehemu ya Qualifications kipengele cha qualification/award hakuna course niliyosoma Procurement...
Habari humu ndani, na heri ya mfungo wa Ramadhan.
Kwa anayefahamu, ninaulizia kama Halmashauri ya wilaya ya Monduli wameshaita watu kwa ajili ya usaili wa nafasi za kazi walizotangaza za...
Wadau ningependa kujua kwa anaefahamu kama zile kazi za wahasibu tanroads lindi zilizotangazwa mwezi wa 5 kama tayari wameshaita kwa ajili ya usaili au bado
Nimeombwa niweke tangazo hili hapa jukwaani.
Binti wa miaka 21,anatafuta kazi ya Waitress au house keper,amemaliza kidato cha nne na ana cheti cha Hotel Management,ana uzoefu wa kazi wa miezi...
Utumishi wa ajira wametoa majina ya wanaotakiwa kwenye usaili tarehe 19 adi 20 mwezi wa tano.
for Tangazo la kuitwa kwenye Usaili-18-22 Mei, 2015
Property
Value
Name:
Tangazo la kuitwa kwenye...
Kwa taasisi yoyote inayohitaji mwalimu toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa masomo ya Literature na Geography tuwasiliane kupitia namba 0712478347.
Nipo tayari kuanza kazi baada ya kufungua...
Salam sana wakuu.
Kuna NGO inayoitwa jina hilo hapo juu, Walitangaza kazi zenye mishahara mizuri sana kuanzia Dola 4700+ kupitia website yao na pia tangazo liliwekwa zoom Tanzania. (Careers...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.