JOBS AT Tanzania Revenue Authority - June 2015
TRA would like to recruit dynamic experienced and qualified personnel to fill vacant positions in the Research & Policy, Human Resources &...
Kama mwajiri asipopeleka makato ya wafanyakazi wake ya kila mwezi NSSF , kwa mfano mwisho wa kupeleka ni tar. 30/6/2015 akapeleka tarehe 5/7/2015 penalt inakuwaje?
samahani waheshimiwa tcc ( tanzania cigarrete co ltd) walitoa nafasi ya mechanical engineer na deadline ilikuwa tar 30 april 2015 , hivi walishaita interview au bado????
Wadau samahani naomba mnijuze kwa wenye ufahamu?
Katika Mkoa wa Rukwa kuna machimbo madogo ya dhahabu na nasikia biashara ya dhahabu inalipa huko?
Je mtaji inaweza ikawa kiasi gani na soko lake...
Je, wewe ni kijana mwenye kipaji cha sauti?Je sauti yako inaweza kutumika kurekodi matangazo ya redio?Kama jibu ni ndio,basi jiandikishe nasi leo ili ushiriki usaili wa sauti kwa ajili ya...
mm ni mtumishi wa umma nilihamishiwa kituo kipya lkn mazingira hayo hayakuwa salama kwangu nikatoa taarifa kwa DED lkn akapuuza nikatoa taarifa TAMISEMI wakam order DED kunbadilishia kituo lkn...
Hello, hivi wale walioitwa kazini as State Attorneys in March, 2015, walishapangiwa vituo au bado?
In any case, kazi za serikali zinachukua muda mrefu unreasonably.
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 28 sasa nilimaliza elim ya chuo (advanced diploma of accountance)2012 nimetafuta kaz kwa mda mrefu bila mafanikio..please mwenye msaada wowote naomba ani Pm...
Habarini humu ndani,
Ningependa kufahamu kisheria mfanyakazi wa private sector anastahili kulipwa mshahara wa kima cha chini shilingi ngapi?
Na je mfanyakazi anaweza kufanya kazi miaka mitatu...
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria...
Geography, history,chemistry,biology
Apply now at director@greenbirdinstitutions.org
Attach cv n certificates
Interview call +255 764 248 152 and arrange with the administration
Deadline 30/6/15
Habari wakuu.
Samahani naomba kujua utaratibu wa kupata nafasi ili kuwapandisha watalii au kubeba mizigo ya watalii mlima Kilimanjaro iko vipi na fursa naweza kuipataje hususani kwenye kipindi...
Business Analyst Financial Planning &Analytics
Job ID #: 3651
Department: Finance
Country: Tanzania
Experience Required: 5 - 7 Years
Location: Dar Es Salaam
Education Required: Bachelors...
Nipo kwenye kampuni fulani ya Wahindi, kuna wakaguzi wa masuala ya viwango ISO wapo hapa kwa wiki sasa hawa jamaa ni Wakenya na wapo peke yao akuna Mtanzania hata mmoja.
Na katika kuuliza kwangu...
BrigherMonday.co.tz ni tovuti kubwa zaidi ya ajira nchini Tanzania, ambayo ina watafuta ajira walio bora zaidi kuliko chanzo chochote kile. Katika nia yetu thabiti ya kutimiza azma yetu...
Public Relations Manager
Job purpose
The Public Relations Manager provides a range of core functions within the communications team. She/he is a behaviour change specialist with direct...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.