Mwanangu sasa amemaliza shahada ya kwanza ya sharia katika Chuo cha SAUT Mwanza. Kwa yeyote mwenye kuhitaji mwanasheria anipiige moja kwa moja namba 0764 601903.
Yuko tayari kufanya kazi ya...
Naomba kuuliza kama unataka kuresign kuacha kazi tarehe 22 (mwishoni mwa mwezi) mara tu baada ya kupokea mshahara na kuandika kuresign masaa 24, je unawajibika kurudisha mshahara wa mwezi mmoja...
Hivi inachukua muda gani hadi matokeo ya usaili yatoke
Tangu nimefanya interview wiki ya 3 sasa sijasikia aliyeitwa .wadau benki za kibongo huwa zinakuwa hivyo au ?
Nb: mwenye uzoefu anaweza ni...
Habari za muda huu wadau mimi ni muhitimu wa chuo cha uhasibu dar es salam nimemaliza shahada ya Business Administration nilikua naomba msaada wenu niwezepata mahala nijitolee ili niwezepata...
Wewe ni mjasiriamali na unapenda maendeleo? Basi nakukaribisha katika mkutano huu ili uweze kuzifahamu mbinu na fursa sahihi za kukitimizia ndoto zako.
Badili fikra, timiza ndoto yako...
Jamaa eti kanitumia hii sms akidhani natapelika kirahisi;
Hello, am Mr. Ibrahim from St. NEILSON HIGH SCHOOL Dar, tupo kikaoni tunapitia cv za kuinterview for SECONDARY SCHOOL TEACHER post...
Habarini jamani kwanza kabisa naomba msinizodoe mimi ni msichana nina miaka 27 natafuta kazi Mwanza nimesoma business administration nime specialize kwenye procurement and supplies nina diploma...
Samahani sana ndugu zangu nataka kufungua kampuni ya Fumigation now nipo katika masuala ya usajili, nataka kujua ni mikoa ipi nitapata zaidi soko na changamoto zake.
Naomba kuuliza kama unataka kuresign kuacha kazi tarehe 22 (mwishoni mwa mwezi) mara tu baada ya kupokea mshahara na kuandika kuresign masaa 24, je unawajibika kurudisha mshahara wa mwezi mmoja...
Are you a good English teacher!? Do u have experience on English language teaching!? Apply now at director@greenbirdinstitutions.org attach your CV deadline 30/12/15 interview ll be on 7th jan 2017
HIKI NI KIPIMO KIBOVU SANA CHA KUPIMA MAFANIKIO YAKO
Kuna watu walikaa chini wakaamua kwamba kuwe na mtihani mmoja na
wanafunzi wote waufanye, atakayepata maksi nyingi ndio amefaulu, atakayepata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.