Wameanza fujo Mathare, Kibera na Kawangware. Dont care which side you are on but if this guy is allowed to talk on Live TV ni very risky at this time. Hajasema the next step na kameanza kunuka, je...
Odinga ana umri wa miaka 72 sasa
Bila shaka odinga amekuwa katika siasa za Kenya kwa muda mrefu sana.
Amesimama urais zaidi ya mara tatu na akashindwa kila wakati
Is this a sign that he should...
Wadau kwa mujibu wa Kenya National Bureau of Statistics, idadi ya watu kama ifuatavyo:
1) Wakikuyu - 6,622,576
2)Waluhya- 5,338,666
3) Wakalenjin - 4,957,328
4)Wajaluo -4,044,440
5) Wakamba -...
Sijui kama ni kweli lakini Uhuru kashindwa vibaya uchaguzi wa tarehe 8 ndio nimeota hivyo.
Uhuru ukiunganisha na kauli zake na matukio ndani ya Kenya ni wazi kuwa ndoto yangu ni kweli.
Tusuburi...
Hili wamesema kwamba wakiruhusiwa kuingia na kufungua server za IEBC, basi watakubali kushindwa.
Mimi binafsi naona kama washauri wa Raila watakua wanamdanganya na kumzungusha zungusha mzee wa...
The African Development Bank has agreed to finance Tanzania’s central railway projects after several stakeholders pulled out.
Speaking in Dar es Salaam last week, the bank’s East African managing...
Muungano mkuu wa upinzani nchini Kenya, ambao ulishindwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, umeapa kuendelea na maandamano wenye nia ya kubatilisha kile ambacho unasema kuwa, matokeo "feki" ya...
Tuliaminishwa kuwa Uhuru na Ruto wameshiriki kuua watu uchaguzi mkuu wa Kenya, yakaletwa mashitaka wakapelekwa Thehugue (uholanzi)kesi ikaishia ilipo ishia,kukosa mashahidi.
Hivi Leo hayo hayo...
Kura za RAO kutoka tanzania zilizopigwa na Wakenya waiishio tanzania ni mbili tu, Hiyo inaleta tafsiri kuwa NASA walikosa ushawishi nchini Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepitia matokeo yote Ya uchaguzi kenya. Ukiyatazama Raila karibu maeneo yote ya Kenya kapata kura za kutosha kasoro machache sana. Kenyatta kura zake zimerundikana maeneo machache ya nchi...
Tume ya taifa ya uchaguzi Kenya imemtangaza Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne.
Rais Kenyatta alipata kura 8, 203, 290.. ambayo ni...
Kama kichwa kinavyojielezea imebidi nije mbio mbio vipo huyu jamaa kapteni wa mapambano wa NaSA kukiri live kuwa kina tallying in arusha hii imekaaje kidiplomasia na waziri wetu alikanusha kabisa...
Wakuu kwanza nawapongeza kwa uchaguzi.
Nsiwachoshe sasaaa
Huyu baba wa watuu mnataka kupiga naye pichaaaa, kila mtu, makampuni n.k,
Si atapata vidonda vya tumbo kwa hayo maharage?
Muoneeni...
KENYA: Watatu wafariki wakisheherekea ushindi wa Uhuru Kenyatta huku msichana 1 akiuawa kwa kupigwa risasi ktk ghasia huko Mathare.
=====
A young girl was shot dead by police firing "sporadic...
My thoughts.
Sio siri kwamba Magufuli na Kenyatta are not exactly best friends.
Tutegemee mivutano ya kibiashara kati ya heavyweights hizi mbili za EAC kuendelea. Zuia hiki nizuie kile.
Rumor has...
Akitumia ukurasa wake wa twitter Raisi wa Rwanda ambaye hivi majuzi amepata ridhaa ya kuiongoza Rwanda kwa mara nyingine, amempa pongezi raisi wa Kenya Uhuru Kenyata kwa kuchaguliwa tena kuiongoza...
Kibera, Mathare, Eastleigh and several other parts of Nairobi are rocked by violent protests or celebrations at this very moment in the wake of Uhuru Kenyatta's declaration as winner of this yr's...
Wana JF
Nlikua najaribu kufanya mahesabu hapa, ya jumla ya matokea yaliyokwisha tangazwa na kumpa ushindi Uhuru Kenyatta kama ndie raisi mteuliwa, but kile nikijaribu kukotoa, naona haya mahesabu...
Naona kageuka gumzo kwenye vyombo vya habari huko Kenya na watu maarufu kv Omondi,Jeff Koinange nk wamemtumia kama fursa, sasa huyo Githeri man msimuache fukara mpeni fursa hata ya Tv commercial...
GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!
Nini madhara ya...