Wana jf tuwe wakweli kwa hali ilivyo ndani ya serikali ya Kenya ingekuwa kwenye mataifa mengine hivi Odinga leo hii angekuwa bado analala nyumbani kwake?Tazama uchanguzi ulivyo amriwa kurudiwa...
Kwa maoni yangu kuapishwa kwa Raila Odinga ni mzaha na comedy ya kisiasa kuwafurahisha wafuasi wa NASA na wakenya wapendao comedy. Kuapishwa kwake si uhaini/jinai ya aina yoyote kwa sababu haina...
Leo Kiongozi wa muunganiko wa vyama vya NASA Raila Odinga anatarajiwa kuapishwa kama Rais wa Kenya. Hatua hii ya Raila Odinga inakuja iliwa ni baaada ya kugomea uchaguzi mkuu wa marudio nchini...
Wanahabari watatu wa Kenya walilazimika kukesha katika chumba cha habari kwa kuhofia kukamatwa na polisi waliokita kambi nje ya majengo ya shirika la habari la Nation.
Mawakili wa wanahabari hao...
Benki ya Taifa ya Kenya imetangaza kupunguza wafanyakazi 150

Leo January 30, 2018 Benki ya Taifa ya Kenya imetangaza kupunguza wafanyakazi 150 wakieleza kuwa nia ya kufanya zoezi hilo ni...
Mbunge wa Ruaraka, MP TJ Kajwang’, ambaye ndiye aliongoza tukio la kuapishwa kwa kiongozi wa NASA, Raila Odinga amekamatwa
Mbunge huyo amekamatwa leo na askari polisi waliokuwa hawana sare nje...
Dunia ilitarajia leo yangetokea machafuko wakati Odinga akijiapiza kuwa raisi wa watu wa kenya.ilitarajiwa police wa kenya wangezuia na kusababisha umwagikaji wa damu hasa kutokana na umati mkubwa...
The Citizen TV and NTV shoutdown following to broadcast live the inauguration events of NASA candidate mr. Raila Odinga today.
Yestarday the authorities in kenya warned the Media in Kenya not to...
Nimetafakari nikaona niweke huu uzi hapa ili tupanuane mawazo.
Juzi Raila Odinga - Kiongozi wa NASA nchini kenya aliapa kama "Raisi wa Watu". Hapakuwa na polisi wala mtu yeyote aliyeingilia kati...
Stun hand grenade was hurled at Kalonzo’s home, police confirm
By Mercy Asamba
Published: Jan 31st 2018 at 13:14, Updated: January 31st 2018 at 13:24
The National Police Spokesman Charles Owino...
PRESIDENT Dr.John Magufuli will today launch new Tanzanian electronic passport in an event to be held at Immigration head quarters in Dar es Salaam
Speaking to Azania post, the Immigration...
Vituo vikubwa vitatu vya TV vitaendelea kufungwa hadi itakapokamilisha uchunguzi juu ya kuapishwa kwa kiongozi wa upinzani, Raila Odinga.
Waziri wa mambo ya ndani, Fred Matiang'i amesema leo...
Baada ya serikali ya Kenya kupanga wanausalama katika uwanja wa uhuru,palishuhudia umati mkubwa wa watu wakiingia uwanjani na uwanja kujaa kabla ya Odinga kuingia na lengo kubwa la wanausalama hao...
Business
Why SGR cargo train is yet to roar into life despite price reductions
By Vincent Achuka
Published: Jan 28th 2018 at 12:58, Updated: January 28th 2018 at 12:58
Containers on board the...
Ndiyo maana ya Kiongozi wa Nchi, wale sio adui ni raia wake pia, Na ndiyo maana nzima ya democracy, ameheshimu mawazo na ametegua mtego wa machafuko yaliyokuwa yanaenda kuinyemelea Kenya...
Maafisa wa kutegua mabomu katika nyumba ya kiongozi wa chama cha Wiper na naibu nchini Kenya Kalonzo Musyoka wanachunguza kifaa kinachofanana na bomu kilichorushwa katika nyumba yake mjini Karen...
si dhani kama raila Odinga alikuwa na haja ya kujiapisha kama raisi wa watu ila nadhani kuwa anchokifanya raila ni uchochezi wa ghasia sijui wanaelekea wapi wakenya
Jana baada ya Viongozi waandamizi wa NASA kushindwa kuhudhuria kuapishwa kwa Raila Odinga imedhihirika wazi walifanya hivyo kwa makusudi..
Akiongea na vyombo vya habari mwenyekiti wa chama cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.