Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Hii n moja ya website inayotumika sana hapa Tz lakin ndio website yenye matapeli wengi kuliko website yyte ile kuwa makini na wezi hao wa mitandaoni kitu cha 1M watakuuzia hata 300k ilimradi tuh...
6 Reactions
61 Replies
9K Views
Kwanza kabisa natanguliza shukrani zangu za dhati kwa Muumba wa Mbingu na Ardhi, kwa kutuamsha salama siku nyingine tena, Jana nilimsikia Mkuu wa Nchi akisema kuwa wapo mawaziri na wafanya...
1 Reactions
1 Replies
915 Views
Habari ndugu. Sikuhizi ajira zimekosa mambo yamekuwa magumu Kuna Rafiki yangu anafanya kazi kwa muhindi kariakoo ya kuuza bidhaa za Dukani Anatafuta mtu wa kuchanga naye mtaji waanzishe...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, Namtafuta bwana MPILIPILI, Ni yule jamaa mwenye ile mada ya " fursa za kibiashara CHINA' Mwenye kujua namna ya kumpata naomba msaada.
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Biashara ya samani (furniture industry) ni biashara inayokua kwa kasi, na imekuwa ikinyooshewa kidole kama ni njia muhimu (important tool) katika kufikia uchumi wa viwanda ambao ni lengo la Mpango...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
An ambitious ‘safari city’ project aimed at promoting satellite towns around the fast-growing Arusha has taken off.The National Housing Corporation (NHC) project begins with the construction of...
2 Reactions
13 Replies
7K Views
habari wana jf..naomba mawazo na ushauri juu ya biashara ya sea food cafeteria kwa maeneo ya tabata kinyerezi.
1 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
HABARI WANA JAMII?? Naitwa Tarick Majiji nipo morogoro kimasomo Nipo chuo nasoma Diploma ya Information and communication technology (ICT), Natafuta sapoti ya mtu ambaye atakuwa tayari kunishika...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Kuna bidhaa nataka ninunue kupitia mtandao wa jumia lakin wanataka nilipie kabisa hapo ndipo nimepata ukakasi,,Mwenye uelewa kuhusu mtandao wa jumia naomba anisaidie au aliewahi kununua bidhaa...
2 Reactions
45 Replies
8K Views
Wakuu, heshima kwenu. Kutokana na changamoto ya upatikani wa maji yasiyokuwa na chumvi Kigamboni nimeona hii ni fursa ya biashara. Wazo langu: Ni kununua SIMTANK yenye capacity kuanzia 5000...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Nimejaa hasira nashindwa kujua tatizo nini hasa kwa kua tumefanya wote uandikishaji wa awamu ya pili cha kushangaza vimerudi vya wale ambao hawakuwahi kujiandikisha wala kua na vitambulisho...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
According to Ibn Khaldun(muqqadimah ), tax revenues of the ruling dynasty increase because of business prosperity, which flourishes with easy, not excessive taxes. ... , Nini maoni yako?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wekeni kituo cha mafuta maeneo ya mandera road/tabata. Naamini sana bidhaa yenu na kuna wengine wapo karibu lkn ukiweka mafuta tu kwenye gari, taa ya check engene inawaka. Kwa kuwasaidieni pale...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari kutoka mkoani kagera zinasema bei ya senene imeporomoka sana msimu huu, mpaka sasa hawaelewi kama mporomoko huu umetokana na bei ya senene kwenye soko la dunia. Habari za uhakika zinasema...
1 Reactions
7 Replies
45K Views
Habari za mda huu wanajamvi! Sina shaka maana na jua kwa rehema za MUNGU mmeamka salama na baadhi tiari mpo makazini kuijenga nchi yetu. Kwa wale ambao hawapo poa kiafya na kiakili Mungu awatie...
6 Reactions
105 Replies
19K Views
1. Weka bajeti Ni rahisi kusikia watu wakilalamikia bajeti za serekali na kuzikosoa lakini wao wenyewe hawana bajeti zao binafsi. Unawezaje kukosoa bajeti ya serekali wakati ya kwako mwenyewe...
4 Reactions
10 Replies
6K Views
Hivi karibuni nimepata mtaji wa takribani Mil 20. Nimekuwa nikipanga kuanza biashara ya electronics kama vilivyotajwa hapa chini, changamoto inayoniogopesha ni mamlaka za serikari kuhusu vibali na...
2 Reactions
39 Replies
5K Views
1. PURPOSE: every brand has a message and promise, however we’re in a market where consumers have become smarter with their purchasing decisions, having a well defined purpose - your WHY - will...
4 Reactions
1 Replies
791 Views
Shirika la Ndege la Fastjet linatarajia kuondoka katika soko la Tanzania, baada ya kujiendesha kwa hasara kutokana na sababu mbalimbali, zikiwemo ushindani kutoka Shirika la Ndege la Tanzania...
1 Reactions
147 Replies
25K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…