Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

> Mamlaka hiyo imesema inatambua uwepo wa Watanzania wanaofanya biashara kupitia Mitandao ya Kijamii hivyo wote watakiwa kujitokeza ili wapewe namba ya mlipa kodi(TIN)
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hapa na pale kila uchwao naona wenye uthubutu wakiimarika, inatia moyo sana.... Pongezi kwa wale waliochagua mbio za mwendo mrefu na medani zisizotundikwa kifuani. Wadau leo naomba mlitupie macho...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
aisee wakubwa zangu natafta mdhamini au mtu mwenye kazi yoyote maana sina mkopo afu ada ni kubwa kiasi ata nikiacha chuo io ada staipata nipo Bachelor in shipping and logistic management pale Dar...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama title ilivyo ninatafuta mdau mwenye vibali na mtaji pori la kwangu tukate mkaa kwa partnership hapo tanga . Karibuni wadau mlio interested.
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Hao. Ni mwendo wa kodi tu. Hapa kodi tu. Wamejiandaaje? Tumejiandaaje? Wataweza kuifuatilia hiyo kodi? Hebu na tuone
0 Reactions
0 Replies
663 Views
Habari wakuu! Katika harakati za kuongeza kipatao kuna wazo likanijia. Mara nyingi tumezoea kwenye sherehe kama harusi, Send-Off na sherehe kama hizo za nyakati za usiku kunakuwa na vinywaji...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu nahitaji watu wawili tushirikiane kupiga kazi Kazi nimepiga hesabu ni kuwa tukianza na mzigo wa milioni sita(6,000,000) tutaingiza almost milioni kumi kila wiki mbili (haya ni makadirio ya...
3 Reactions
43 Replies
4K Views
Ninahitaji MTU wa kushirikiana naye kwenye biashara ya kuzalisha unga wa sembe Songea na kusambaza mkoa wa Mtwara na Lindi.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
TANZANIA SHARED BUSINESS (TSB) BUSINESS PARTNERSHIP OPPORTUNITIES Tanzania Shared Business (TSB) inatafuta washirika wa biashara katika kampuni ya kuzalisha unga wa sembe Songea na kusambaza...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Ndugu wana Jf leo naomba nieleze kuhusu wimbi la watu wengi hasa mijini wanaoelekeza nguvu nyingi kuwafundisha watu hasa vijana Biashara hasa ujasiriamali ! Mimi katika pita pita zangu nimekutana...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Ukatili unaondelea kufanywa na fastjet cio wa kufumbia macho yapata wiki nzima ss abiria hawasafir kwa wakati ndege zinaairshwa bila kupewa taarifa Leo asubh nilitakiwa kusafir kutoka mwanza kwena...
0 Reactions
2 Replies
925 Views
Habarini wadau, Mimi kama mjasiriamali wa muda mrefu nimekuwa nikisikia wafanyabiashara baadhi yao wakisema "msimu huu biashara mbaya sana" sasa najua kila mfanyabiashara ana msimu anaoamini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau mwenye uzoefu wa biashara ya pochi za wadada na viatu kutoka kutoka Uganda..... Naomba Muongozo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo nimeshangaa sana nimeenda NMB kuweka makusanyo yangu madogo madogo nashangaa teller ananiambia kuna makatao ukitaka kuweka kila denomination unakatwa 2,300/= denomination mfano 50, 100, 200...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Usiudharau mwanzo wa jambo lako lolote lile...unapofanya jambo unaloliamini usiangalie watu watalionaje,wewe pekee yako ndio una ramani ya kule unapopaona kuhusu jambo lako...im sure usikatishwe...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba msaada wenu wadau,Nina laki mbili ninaweza kufanya biashara gani?
0 Reactions
2 Replies
796 Views
Wandugu kama kichwa cha habari kinavyosomeka,nina hitaji mkopo wa milioni 4, 500,000 kutoka taasisi yoyote au mtu binafsi dhamana yangu ni kadi ya gari toyota noah,muda wa mkopo miezi 6 tu riba...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
KARIBU NA MAKALA NYINGINE ZA KUELIMISHA TEMBELEA BLOG YANGU MKUU ONĒ BLOG Utajiri unaanzia kwenye imani ambayo mtu unayo kuhusu wewe mwenyewe, kuhusu maisha na kuhusu fedha. Kama mtu utakuwa na...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomben mniambia maana ya stock
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Nataka kufanya biashara ya mazao naomba msaada wa mawazo na kwa yeyeto anaeweza kunisaidia sehemu yenye urahis wa upatikanaji wa mazao yenyewe!Nipo Mwanza
0 Reactions
1 Replies
989 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…