helo great thinkers ninaombeni kwa mwenye ufahamu juu ya mikopo isiwe bank kwani lengo langu,ni kukopa fedha kidogo ili niongezee mtaji katika biashara yangu nipo tukuyu mbeya,kaz yangu ni mwalimu...
habari wadau poleni na majukumu.mimi ni mwalimu sekondari ombi langu ni kutaka kujuzwa ni wapi naweza pata mkopo,kwa hapa tukuyu isiwe bank kwani nahitaj pesa kidogo tu kwaajili ya kuongezea mtaji...
Wadau wa masuala ya biashara na uchumi. Hii nimeikuta sehemu fulani ndani ya engine ya yahoo.
jisomeeni wenyewe na copy na ku paste tu!
AMERICA IS NOW No. 2: ITS OFFICIAL
Hang on to your...
Wataalam nisaidieni kuna mitambo ya kusafisha majitaka hapa kiwanda cha bia cha serengeti iliyofungwa na kampuni ya Waterleau ya Belgium na katika Recirculation ya maji kusafishwa, kuna mabomba...
Habari wana jamii kwa wale wenye miradi ya kuku tuna uza vyakula vya kuku kwa garama nafuu na vyakula vilivyo na ubora wa hali ya juu na salama kwa kuku wako
vyakula hivi ni kwa kuku wa nyama...
Wakuu hembu mnijuze kwenye riba za banks.
Ni Banks gani zenye interest kubwa .
Halafu naomba mnisaide kukokotoa hii hapa.
Kuna Jamaa yangu kaingia kwenye Mkopo wa Bank moja huko huko Dar,amekopa...
Wapendwa, nisaidieni nahitaji kwenda kununua ng'ombe na mbuzi Dodoma na Shinyanga kuja kuuza Dar, Pugu na Vingunguti. Je nahitajika kuwa na vibali gani ili kuruhusiwa?
Habari wanajamvi! Naomba kwa anayefahamu ilipo kampuni ya kizalendo ya VML Global Tanzania Limited au saccos yao Vission Saccos Limited anielekeze walipo, nataka niende kuwaona nina muhogo ekari...
At 44.3 per cent, Tanzanias performance in tax collection in the East African region has been rated best for this year, surpassing all its neighbours and a number of other African countries...
Wadau habari za jioni
Nimeomba mkopo NMB tawi moja la mkoa wa kilimanjaro..nikapewa form na kukamilisha taratibu zote ndani ya siku mbili na kurudisha form tar 15/Nov na yule loan officer...
Habari zenu wakuu? Poleni na majukumu na mihangaiko ya kila kukicha,mimi ni kijana mwenzenu ambaye ni mkulima wa zao la vitunguu na pia nafanya biashara ya kuuza na kununua zao hilo,nimekuwa...
wanajamvi pole na kazi. kwa wajuvi wa mambo ya usajili wa kampuni naomba kufahamisha je kuna advantage yoyote ya kusajili kampuni kama sole proprietor au limited company katika masuala yafuatayo...
Meli ya mv victoria ambayo hufanya safari zake kati ya Mwanza na Bukoba sasa ina wiki nzima haijafanya trip yoyote. Inasemekana moja ya engine yake ni mbovu na alhamisi iliyopita ilibidi abiria...
Tafadhali wandugu tusaidiane kukokotoa mahesabu ya mshahara hapo chini kama yapo sawa. Ni mojawapo wa mishahara katika chuo fulani jijini Dar.
Basic salary 2,160,000.00
House Allowance 216,000.00...
Scenario iko hivi tuchukulie Subash Patel ana nyumba kariakoo ambayo inayo title anatafuta mtu wa kufanya naye JV
Anatokea bwana Mwambulukutu anasema kuwa anaweza kupata finance ya kujenga kwa...
Ni wachache sana wanaoweza kutoa siri zao jinsi walivyoweza kupata mafanikio. Maisha ya siku hizi unatakiwa uwe kama mwanajeshi ambaye yuko vitani, kwa hiyo umakini, nidhamu, mikakati, uvumilivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.