habari JF Dr's naombeni kujua etii kutosogea kwa kondo la nyuma katika mfuko wa uzazi laweza sababisha mimba kutoka?
Na nini husababisha hali hii kutokea na nini kifanyike ili kusave mimba...
Si jambo geni kusikia mtu wako wa karibu au mwenza wako anapokuwa amelala kuwa na kawaida akikoroma au kuwa na mikwamo mikwamo ya milio isiyo ya kawaida akiwa katika usingizi mzito.
Iwapo...
Health experts have causioned the public to be more vigilant now that it has been found that all mosquitoes spread elephantiasis.
The national Neglected Tropical Diseases (NTD) Coordinator, Dr...
Nina matatizo ya kutokwa na jasho jing mwlin wakat mwingin ucku cwezi kulala nikuw nimevaa kaush, nikvaa lzm nivue uck wakt mwingine jasho lanichom shingon kama mtoto mdogo natokwa mapele jaman...
Oral Sex (kwenda chumvini & Kulamba Koni) kunakuweka katika hatari ya kupata Kansa ya Koo, eg. Oesophagus Carcinoma or Squamous Cell Carcinoma. Hii hutokea pale utakapopata kirusi kinachoitwa...
JF members,
Could somebody assist on this prevailing embarrassing situation my much-loved daughter is undergoing?
My daughter is a boarder at a certain school in southern highland, I do not...
Nimesoma forwarded msg moja kwenye email yangu na nikakuta ina story sijui ni kweli ama nini yasema kuwa kuna mtoto wa miaka 10 alipata ukimwi kupitia tunda nanasi ambapo muuzaji mwenye UKIMWI...
Umesema mambo ya kweli mifumo yetu iliyopo haitoi nafasi ya kuuelimisha umma wa watanzania ili kujikinga na maradhi, bahati mbaya hata sisi wahudumu wa afya ambao tunaelimishwa kwa fedha za...
Wana JF msaada wenu nauhitaji. Nikivaa viatu vya kutumbukiza nyayo zangu zinakuwa poa. Ila nikutamani kuvaa open shoes kwa siku tatu tu ni shida! Nyayo zinakuwa kavu sana na zinakatika nakuuma...
Ni kweli Oral sex husabisha saratani ya koo kwa kiasi kikubwa?
Na mimi nilishafundishwa kwenye somo la Afya nilivyokuwa sekondari kuwa saratani ya Koo husababishwa na uvutaji wa sigara na unywaji...
Mimi ni kijana wa kiume nimeoa hivi karibuni, lakini kabla ya kuoa nilikuwa naweza kufanya mapenzi vizuri (mwanamke hakuwa bikra) hadi mara tisa kwa masaa 24 lakini huwa nafika miezi (huwa sina...
Wakuu,
Binafsi ni mtumiaji mzuri sana wa bia , kazi yangu inanifanya niwe busy muda mwingi kuna wakati hata muda wa kupata chakula cha mchana ninakosa, na mara nyingi hushindia maji ama matunda...
Habari wanajukwaa!
Tatizo la weupe kwenye macho hasa pembeni ya jicho unatoka kwa nje kuliani au kushotoni. Huwa unasababishwa na nini na vipi unaweza kuutibu?
Nina hilo tatizo kama mwaka sasa...
Je naweza kuanza kumpa mtoto wa miezi mitatu na wiki mbili juice za matunda? Uji au mtori na anatumia maziwa ya ngombe, ya kopo aliyakataa huwa nakwenda kazini nachelewa kurudi.
Ndugu wadau, nimekuwa na mazoea ya kunywa maji baridi toka ktk jokofu, iwe asubuhi, mchana, ama usiku.. Je mazoea haya yana madhara kwa afya yangu baadae ? Naomba kuelimishwa tafadhari.
Mara nyingi inanitokea sana usiku nikiwa kwenye usingizi najitahidi kuita sauti haitoki hata kidogo nikijitahidi kujigeuza upande mwingine nashindwa nikijitahidi kuamka kwa nguvu zote nashindwa...
Naomba kujua ni kwa namna gani nitaweza kujua kama aliwahi kutoa mimba kwa kumwangalia, ama kuchunguza. Ni hivo tu, nadhani nitakuwa nimeeleweka wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.