JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. John- Ni mpenda sifa na muongo, kamwe hawezi kukuruhusu ukashika simu yake 2. Brayton- Anapenda kulalamika muda wote, anaringa, anapenda kubembelezwa na anapenda kulelewa 3. Moses- Ni mkali...
6 Reactions
298 Replies
24K Views
Enzi hizo mnatoka Jolly mnakesha Las Vegas Casino au Billz kunakucha sa kumi na mbili kijua hichoo, mko nyanganyanga mnachomoka hadi kino wale tuliokaa mitaa hiyo Mnaishia Kiria Bar. Sufuria...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hi..! Siku mwezi na tarehe kama ya leo my lovely person..Vinchii wangu alizaliwa. Happy birthday to you. Long may I reign. Zawadi za birthday zitumwe...
14 Reactions
86 Replies
5K Views
Dunia inaundwa na mabara 7 moja limejaa barafu (Antaktika: Hakuna wakazi wa kudumu lakini watafiti na wafanyakazi 4,000 katika majira ya joto na 1,000 katika majira ya baridi.) Bara la Africa ni...
2 Reactions
8 Replies
985 Views
Jana nimejifunza mengi sana, nilikunywa bia zangu Manzese kichwa kilivyochanganya nikasema pesa kitu gani bhana kesho nitatafuta tu kwanza zipo za kutosha nikakimbia chap ATM nikawithdraw laki nne...
30 Reactions
155 Replies
10K Views
Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani! Juzi si nmekutana na dada...
14 Reactions
244 Replies
7K Views
Hawa watangazaji wako wapi jamani sijawasikia/kuwaona siku nyingi sana? Mohammed Kisengo (Tanzania) Blandina Mugezi (Radio one/ITV) Flora Nducha (BBC) Idd Ligongo (BBC) Abubhakhari Liongo (DW...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Niliamua kuacha pombe kwa uzuri. Nilikunywa miaka 10 nikastafu. Shida inayonikabili ni kubeti. Bila mkeka siku haiendi.Imekua urasimu wa hali ya juu. Nataka kuacha ila inabidi sijui nifanyeje wakuu.
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Eti Kwa umri nilionao si sahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi, mie nipo 30 something. Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari, nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu...
9 Reactions
101 Replies
4K Views
Wasalaam, Habarini wajameni, kwa wiki mbili ntakuwa safarini tanga got some friends from Ethiopia, Europe and Uganda a crew of 15 Baharia tunafanya regionwise city beak travels, and our...
4 Reactions
72 Replies
7K Views
1. MEN and FOOTBALL 2. iPhone USERS With MIRROR PHOTO 3. WOMEN and MONEY 4. WEED ADDICTS and UNFINISHED BUILDINGS 5. STUPID RELATIONSHIPS and MATCHING CLOTHES😅😅 Add yours
17 Reactions
116 Replies
8K Views
Hivi Ukizaa na mke wa mtu na bahati nzuri au mbaya mtoto amefanana na wewe. Je unaweza kudai mtoto wako?
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Salamu, Uungwana wangu ninaotoka udogoni, sijala cha mtu na sipendi dhulma, achilia mbali kuonea mtu Jana niliamua kunyoosha miguu kidogo, kuanzia saa 12 jioni nikawa nafanya mazoezi ya kutembea...
10 Reactions
61 Replies
3K Views
Katika Jambo la kustajabisha Meza Za viongozi na wachezaji wa Yanga Maembe yaliliwa kama inavyoonekana hapao Chini. Ama kweri hii timu ina Njaa kali, that is why preseason wanaishiaga mjimwema...
7 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukiwa mtu mzima usiropoke ovyo. Tumia busara kuwashauri vijana. Kumbuka na wewe ulikuwa kijana na vijana wa sasa si wakamilifu.
1 Reactions
0 Replies
507 Views
Nipo Kigoma mjini kikazi kwa wiki moja, Naomba kufahamu ni wapi panafaa kuosha macho wakuu. Pawe sehemu tulivu na iliyostaarabika na pa kupakuosha macho.. Hahaha najua nimeeleweka. @...
5 Reactions
132 Replies
13K Views
Nisema asante sana kwa Mungu kwa siku ya leo asante sana
9 Reactions
42 Replies
2K Views
Leo ni mara ya 6, kila nikiosha kigari changu jioni usiku au asubuhi sana mvua itanyesha. Mpaka naanza kuwaza au huyu jirani yangu ananifanyia hujuma? Maana huu mtaa mzima mimi ndio nina gari...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani kwema? Mambo yasiwe mengi ngoja niende kwenye Jambo lenyewe,Katika hekaheka nazopewa na mwalimu ulimwengu wiki hii nimejikuta nipo usukumani ndani kabisa,nimekutana na kina Ngosha original...
25 Reactions
173 Replies
7K Views
Hello, niende kwenye mada, why michepuko ama wezi wa penzi wana vimba sana wakati mwenye mume au mke, au mwenye mpenzi ashagusa sana shoo na toka kitambo. Sasa unakuta sisi na wao visokolojo...
1 Reactions
11 Replies
947 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…