JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hapo zamani kuku na mwewe walikuwa marafiki. Siku moja kuku akaenda kuazima sindano ya kushona nguo kwa mwewe iliyokuwa ikitumiwa na ukoo mzima wa mwewe. Kwa bahati mbaya ile sindano ikapotea...
4 Reactions
11 Replies
9K Views
Karibuni wana jukwaa tukumbushane tukio hili ambalo ni gumu kusahaulika kwenye maisha ya mtu. Pia, kuonyesha utofauti wa aina ya utongozaji wa zamani na sasa [emoji23][emoji23] Dhumuni la uzi huu...
8 Reactions
243 Replies
44K Views
Kutoka Guinea, mwamba mwenyewe Grand P amevuta kifaa cha nchi jirani mwenye umbo namba nane. Pesa inaongea na haijawahi shindwa 👇👇
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Je, unajiskiaje wenzako wa rika lako wakiwa mbele kimaendeleo Yani wamekuacha. Je, utakuwa Karibu nao kwa kujipendekeza ili wakupe connection Au utaamua kujitenga nao?
4 Reactions
39 Replies
1K Views
Ingawa mimi sio mtu ninayeamini sana katika ndoto ila kama wewe unaamini basi watalaam wako wa mambo hayo ya kutafsiri ndoto wamesema Uvuvi na ndoano katika ndoto ni ishara kwamba mtu anayeota...
1 Reactions
2 Replies
9K Views
Ebu wabongo kuweni seriously kidogo na maisha jamani khaa🤣🤣🤣 Otikii otikiii hii imeenda
3 Reactions
41 Replies
2K Views
"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA" Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka, Jijini Arusha, hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya...
34 Reactions
114 Replies
6K Views
GENTAMYCINE pole sana ila upunguze mdomo na uongo uongo, Simba msimu huu hakuwa na kikosi cha maana.
5 Reactions
83 Replies
3K Views
Siku moja mume akondoka asubuhi kwenda kazini na kumuaga mke wake anaenda kazini. Jioni akarudi akiwa na msongo wa mawazo. Mke akamuuliza kulikoni mume wangu. Mume:- Kazini ofisi imeungua na...
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Mimi nawaza mambo ya connection, yani kupeana mashavu / michongo ya maisha, wewe je?
1 Reactions
8 Replies
472 Views
Ukiona hivi vitu basi jua upo Bongo Tanzania Tupia aina kibwagizo
10 Reactions
55 Replies
2K Views
Ni ushauri tu kwa ndugu zetu Chadema wazee wa Chopa Kutokana na mabadiliko ya Tabia nchi Chopa siyo za kuziamini tena Tunawapenda nyote Mlale Unono 😀
3 Reactions
10 Replies
387 Views
Jf salaam. Kwa namna Moja ama nyingine naweza kukukwaza ama ukaingia kwenye Moja ya watu Hawa nitakao wataja hapa. Mimi ni binadamu kama binadamu wengine napenda na kusitopenda pia. Kwahiyo kama...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
1. Box Jelly Fish 2. King Cobra 3. Blue Ringed Octopus 4. Marbled Cone Snail 5. Stone Fish 6. Death Stalker Scorpion 7. Inland Taipan 8. Brazilian Wandering Spider...
3 Reactions
59 Replies
12K Views
Johnson Mshana (28) amehukumiwa miaka 25 kifungo cha nje kwa kujaribu kuvunja gereza la Halden nchini Norway ili aingie ndani. Mshana ambaye aliachiwa huru mwezi mmoja ulipita kutoka gereza hilo...
1 Reactions
5 Replies
801 Views
Kwetu bwana , kulikuwaga na pikipiki ya babu, miaka hiyo mzee alishindwa kulitengeneza, likawa limekaa tu, sasa linalazwa ukumbini. Asubuhi mnaamka nalo kulitoa kwanza liwapishe, jioni ndo kitu...
10 Reactions
30 Replies
2K Views
my name is Yohana, a young man and I am twenty one years old. I have many big dreams in my life, although my dreams are many, but they are all about my success when I was very young. At the age...
1 Reactions
10 Replies
664 Views
Hii ya Jana nimeipenda mheshimiwa. Tunakushukuru Waziri wa habari Kwa kutuhabarisha, maisha hayataki complications.
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Katika Kila mtaa hua Kuna mtu mmoja ke au me anakua na umaarufu Mkubwa Sana na nguvu ya ushawishi either kwa mabaya au mazuri. Anaweza kua mcheza mpira, kibaka, Malaya, bondia, mwanasiasa...
3 Reactions
6 Replies
744 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…