JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Yaani mamy najisikia raha mara nyingi ninapofungua post we unakua wa kwanza kuitoa topic bikra hivi hebu niPM nikurushie fasta
2 Reactions
51 Replies
3K Views
Aisee humu JF Kuna nini. Me ndo natumia muda wote Sina hiyo Facebook, Instagram, x n.k. Muda mwingi Niko hapa kusogoa, kutaniana, kujifunza, kushare mengi Naipenda JamiiForums mno
12 Reactions
181 Replies
4K Views
wale wazee wa Cc hebu tianeno hapa hawa vidume wawil yaan nisiyempenda had leo nimwez na nusu hata kubp anasema yuko bze ila upande wa pil huyu ambaye hata punje ya mapenz cna ndo anajua mm...
2 Reactions
77 Replies
9K Views
Eti wakuu mnaonaje namimi mkinielekeza mmefanyaje hadi mkayapatia maisha kiasi hiki. Nimepitia nyuzi nyingi sana nimegundua anayemiliki gari ya hali ya chini kabisa ni Mshana Jr mwenye BMW Series...
7 Reactions
24 Replies
920 Views
BREAKING NEWS : Linda Thomas yule dada anayesemaga "Salio lako halitoshi kupiga simu hii." amefariki dunia. Kupiga simu kwa sasa ni bure, piga haraharaka kabla hawajarudi msibani, watazuia
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dunia imebadilika. Watu wanaingiza pesa ndefu kupitia vipaji vyao. Ukitegemea degree tu bila kuwa na kipaji hutoboi.
1 Reactions
1 Replies
400 Views
Wakuu salama? Nimeona tukumbushane mambo na vituko vya mboka na story kibao za mkoa ule! Na mitaa, matunda ya porini km Magongoti, vijana Wa mboka, Mwanaisungu etc. Wakuu Mwenye story ya...
4 Reactions
523 Replies
71K Views
1 Reactions
11 Replies
627 Views
Kampuni ya Vodacom,imekuwa na usumbufu mkubwa sana. Ukitaka kuongea nahuduma kwa wateja inakuwa ngumu,wanakuunganisha na online zao ambazo huwezi kumpata mhudumu wao. Mwenye namba zao za Moja...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
1. Nitahesabu idadi ya Moderators wote wataokuwepo Ofisini Siku nitakayoenda Kuchukua Zawadi yangu na Wote watakunywa Soda Mpya, Tamu na niipendayo ya Super Commando kutoka Kampuni ya Pepsi. 2...
15 Reactions
39 Replies
2K Views
Taja vitu muhimu vya kuanzia maisha ya Getto pamoja na makadirio ya gharama zake.
4 Reactions
47 Replies
4K Views
Mwenye simu kubwa ya macho matatu halafu hana kazi inayoeleweka. Acha ujinga vaa kondomu. Mwenye kuchanganya lugha anavyoongea mara anapiga kiswahili anaingizia na kiingereza humohumo. Tumia...
13 Reactions
43 Replies
2K Views
Habari za muda huu waungwana, wanachama na wapenzi wa Jamiiforum, Ikiwa leo ni zaidi ya miaka 15 tangu kuanzishwa kwa Jamiiforums, mtandao huu umekuwa kwa kasi sana miongoni mwa Watanzania na...
6 Reactions
59 Replies
3K Views
Huna kazi, huna biashara, huna urithi, huna pesa, hujasoma UDSM, huna ujuzi wowote, huna mzazi tajiri, huna kipaji halafu unamuomba Mungu akupe maisha marefu, sasa utakula nini?
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Karibu 👇
0 Reactions
14 Replies
541 Views
Ndio, ni kuta. Hizi hizi zilizozuia wapita njia wasikuone ukiwa ndani kwako. Zingesema zimeona nini uko kwenu?
0 Reactions
8 Replies
341 Views
1 Reactions
7 Replies
459 Views
Eti, ni jina gani ulisikia kwa mara ya kwanza na hukutegemea kuwa ni la mtu? Tiririka...
4 Reactions
47 Replies
2K Views
Habarini za wakati huu members na msiokuwa members humu Jamii forums. Wote nawasalimu kwa jina la Allah na Mungu mmoja. Za muda huu. Kama ambavyo tumejiandaa katika kuelekea kufanya party yetu...
18 Reactions
113 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…