JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mamboooooz Naimani nyoote mu wazima humu ndani Nimejaribu kuvumilia siku nyingiiii lkn imeniwia vigumu kutatua swala hili. kwanza awali ya yote niombe tu msamaha kwa Nifah kwa kujaribu kuingia...
7 Reactions
108 Replies
29K Views
Namshukuru Mungu kwa kweli, tarehe kama ya leo miaka arobaini iliyopita, alizaliwa kipenzi, rafiki, dada, mdogo wangu mzuri mzuri jamani na ndugu yangu kipenzi Shunie!! Mungu azidi kukuinua...
26 Reactions
1K Replies
48K Views
Nipo naangalia marudio ya simba na yanga hapa naona camara bado anarudia makosa yaleyale Je Kuna kipa kweli hapa[emoji23][emoji23]
1 Reactions
2 Replies
301 Views
Halafu anataka mimi nibaki ndani namsubiri yeye mpaka umeme wake uwake. Vijana kuleni tu hizo viagra ujanani. Fainali uzeeni. Pesa yako nakula halafu wewe unakula kwa macho coz huna umeme wa...
1 Reactions
4 Replies
260 Views
Natamani kujua siri ya hiko kilevi. Coz nipo na chupa ya pili sasa na najisikia kuagiza inayofuata Nzuri ladha yake ukichanganya na coke Ingawa mie sio dada poa. Nina BIASHARA zangu TOFAUTI
2 Reactions
1 Replies
257 Views
Ama kweli kujaribu siyo kushindwa. Jana ndugu zangu luku ilikata na kwa bahati pekee nikaamua nijaribu kuingiza namba zangu Nida na nilistaajabu umeme ukawaka! Tusiogope kujaribu.
3 Reactions
9 Replies
382 Views
Wakuu leo ni siku maalumu, nataka niuanze mwaka kwa mambo mapya! Hapa nipo ndani ya treni nakuja Dar! Na muda mfupi treni ndiyo imeanza safari, Sina sehemu ya kuaminika ya kufikia, kwahiyo kama...
22 Reactions
2K Replies
126K Views
Tumemshinda brentford ila bado sana tunasusua.
2 Reactions
2 Replies
308 Views
Najua mambo kadhaa ikiwemo ; 1. Wanapenda amani na utulivu. 2.Si wepesi wa kuchukia, ila ukiwatibua ni hatari zaidi ya simba. 3.Wanapenda sana kunyanduana. 4.Wanafanya kazi kwa bidii sanaa...
14 Reactions
57 Replies
8K Views
Karibuni mtaani.
4 Reactions
58 Replies
7K Views
Habari wakuu, Poleni kwa majukumu ya hapa na pale. Kuna jambo nilianza kuliona tangu mwaka 2010 na limekuwa likiendelea siku hadi siku, miaka hadi miaka. Nimetokea kupendwa sana na watu wenye...
9 Reactions
83 Replies
5K Views
Vip wakuu ushawai kutana na gasia ya kuazimwa chaja? Na aliezima hayupo? Ila ni kero Balaa. Hivi adi chaja? Unakuta mtu hana kabisa chaja na anamilik tambo la 300000+
1 Reactions
24 Replies
860 Views
Hii ni thread maalumu kabisa kwa wale ambao wako single na wanataka better half, pole pole mjuane. Huwezi jua umepangiwa utakutana nae vipi Walio kwenye relationship nyie tulieni acheni wenzenu...
16 Reactions
491 Replies
10K Views
Kampuni yangu pendwa ni Allys Sport Bus ambayo kwasasa inaitwa Ally Star Bus [emoji93] au unaweza iita (Chungwa [emoji521]). Hii kampuni inajali sana muda. Yaani hawana gari mzaha hata moja, zote...
11 Reactions
184 Replies
11K Views
Wana Nsumba mpo? Nilikuwa Nsumba Sec toka 1981-1984! It was nice experience and great school ever attended!Walimu wetu wakina Michapo,Bia ,Kikuli na wengineo.Mshikaji ,Mdundo etc.Bila kumsahau...
2 Reactions
97 Replies
34K Views
Hivi nyie Hili swala mnalichukuliaje unamwazima MTU kitu hakurudishii mpaka ufate na usipofata ndo Ivo kimaya"
0 Reactions
0 Replies
181 Views
Bila kupoteza muda wakuu mnaopenda movie zenye maudhui ya uhalifu, mateso ya kisaikolojia kama The Platform au escape room mnaweza nipa list hapa nishuke nazo usiku huu wa mwisho wa wiki.
2 Reactions
4 Replies
463 Views
Yaani usipokuwa na mtu wa kumpungia basi imekula kwako. Ni kama vile huna dili kabisa. Watanzania tunapenda kusalimiana sana.
4 Reactions
16 Replies
726 Views
Kwa JamiiForums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is...
10 Reactions
53 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…