Juni 24, 2022 watu 23 wa Afrika Kaskazini waliripotiwa kufariki kwa ghasia zilizokuwa zinaendelea katika Mji wa Spain, Melilla ambao upo kwenye pembe ya Afrika Kaskazini na imepakana na Morocco.
Watu hao walifariki katika ghasia ya kuingi nchini humo bila kufuata taratibu za uhamiaji kwa kuvuka uzio unaoigawanya Morocco na Spain