Historia yake ni mitifuano tangu FAT na sasa TFF. Hivi hakuna kazi ingine anawezafanya? Tumechoka kusikia majina yaleyale miaka ndenda rudi huku mpira wetu ukiendelea kubaki palepale.
My take:
Endapo Abrahmovic (mmiliki wa Chelsea) atashindwa kujieleza utajiri wake kaupataje, inaweza kupelekea anguko kuu la Chelsea FC siku si nyingi.
Waingereza sasa wameamua kama mbwai na iwe...
Nadhani sote ni mashahidi wa kelele zilizopigwa humu baada ya England kuingiza timu zake 5 kwenye hatua ya mtoano.
kelele mzilipigwa kwelikweli, kuwa England imerudi tena, mara spain hamna kitu...
Wakuu habari zenu?
Baada ya kupatikana timu 8 katika mashindano ya
uefa champions league Kesho tarehe 16 March
kuanzia saa saba kamili mchana kutakuwa na
upangaji wa mechi katika hatua ya...
Kam kawaida muda si muda draw itapangwa tu
Barcelona iwe isiwe anapangwa na Liverpool ili apite akutane nusu fainali na timu atakayoitoa ili acheze fainali na man city
Plz uzii huu usifutwe na...
MAKAMU Mwenyekiti wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Michael Wambura ameeleza suala Kamati ya Maadili ya shirikisho ni la kimkakati zaidi na si la kisheria.
Akizungumza leo jijini...
Hivi ukifungiwa maisha na tff usishiriki masuala yoyote ya soka ni mambo yepi hasa inatakiwa usifanye? Na je ikitokea bado huyo mtu akaendelea kufanya mambo fulani ya michezo ni hatua zipi...
Kama title hapo juu inavyojieleza.Mimi kama mshabiki wa majogoo wa jiji,jana usiku nilifadhaishwa mno na uamuzi wa UEFA kuifurusha man-U katika UCL kwasababu katika mechi ya mwisho ya UCL man city...
Mimi kama liverpool fan tangu enzi za gerrard houllier kwa kusema ukweli naogopa sana liverpool akipangwa na barcelona kwenye hatua ifuatayo ya 8 bora.Kama ningekuwa na uwezo basi ningependa sana...
heey! najua umekuja kasi ukitaka kuporomosha data na takwimu kuhusu mchezo wa Chelsea na Timu inayo ongozwa na mchezaji bora wa dunia L.M
wakati meingine hisia huweza kuwa sahihi zaidi ya hizo...
Mechi inapigwa muda mchache ujao, wanasoka huu ni uzi wenu wa kupeana updates kuhusiana na mechi ikiwa inaendelea.
Vikosi:
Barcelona: Ter Stegen; Roberto, Umtiti, Pique, Alba; Busquets, Rakitic...
Huwa najiuliza sana ni kwanini baadhi ya Watu hupenda Kuuliza kwamba hivi ni nani ameturoga Sisi Watanzania na nikawa hadi nahisi kuwa pengine hao Watu walikuwa tu wanawasingia Watanzania ila kwa...
KAMATI YA SHERIA NA MAADILI YA TFF imemfungia Makamu wa RAIS WA TFF MICHAEL WAMBURA Kutojihusisha na maswala ya mpira MAISHA....more news to come
1.Pole sana MURA....
2.POLE SANA MIKIA....
3.TFF...
Mchezo huu utaruka kupitia chaneli ya SS10 namba 210 ndani ya kifurushi cha BOMBA kwa shilingi elfu 19 tu. Leo hamna haja ya kwenda bandani, asanteni Dstv.
Hakuna ajuaye ni maneno gani aliyoyasema Lionel Messi mara baada ya kufunga goli la kusawazisha dhidi ya Chelsea. Pengine kwa kuhisia yawezekana alifarijika sana baada ya kufunga goli kwenye mechi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.