Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!

On JF:

Zuckerberg anagonga kitabu hapo, ila mdogo wako tangia saa moja asubuhi hadi saa sita usiku yupo facebook anatafuta likes.
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Hapa ni kata ya Kome Kisiwani , Kwenye Mkutano wa Hadhara ulioongozwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , baada viwanja kujaa watu Hata ningekuwa mimi kwa hali ya Uwanja kama hivi...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Haina haja ya maelezo, mmeshaelewa.
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Shusha neno hapa
3 Reactions
5 Replies
926 Views
Sina maneno mengi Acha mjionee wenyewe Bams Mshana Jr Erythrocyte Ova
11 Reactions
27 Replies
3K Views
Kuna watu wamepinda nyie acheni. Pamoja na mkwara wa waziri mkuu lakini wapi! SHANGINGI hilo, jana usiku mtu kalewa nalo chakali!
5 Reactions
45 Replies
9K Views
Hili ndio vijana wanalifuata pale the BIG BROTHER kwa Mariam Biriani
0 Reactions
33 Replies
9K Views
Bibi Teresia Andrea Ghuliku mwenye Umri wa miaka Sabini na Tatu (73), mkazi wa Kijiji cha Siuyu, kata ya Siuyu Mkoani Singida kwa Umakini akisikiliza na kuandika kwenye Daftari lake Hotuba Nzima...
7 Reactions
12 Replies
1K Views
Since inception.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Unauonaje?
13 Reactions
79 Replies
8K Views
Unajenga reli ya gharama kubwa, ajabu, unacholeta wala hakifanani! Haya, kichwa chenu hicho hapo.
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Unatisha aisee
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu hamjamboni nyote? Naomba kufahamu hiyo gari pichani ni aina gani na inagharimu kiasi gani ukiamua kuinunua kwa fedha za Kitanzania ikiwa mpya kabisa Naomba pia kujua kiwango cha matumizi ya...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Je, huyu aliyeshika hii jezi sura yake inatupa ujumbe gani kwa jina lililopo hapo? Sentensi za ujumbe fupi fupi bila hasira!
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…