Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Habari wana ndugu mnaendeleaje na vyuma kukaza Moja kwa kwa moja kwenye pointi leo naomba tukumbashane kidogo mtu aliwahi kuvuma sana hapa duniani Enzi za miaka ya 1970 - 2003 miaka hiyo...
56 Reactions
211 Replies
49K Views
Freemasons ni kikundi cha siri kinacho ratibu na kuongoza kila kitu katika hii dunia. Kikundi hicho cha siri huratibu mambo yake kwa kushirikiana na baadhi ya wawakilishi wake wachache katika kila...
12 Reactions
63 Replies
8K Views
Kuna sababu nyingi za kiuchumi,Kiintelijensia, Conspiracy, Kisiasa, Kidini hata kihistoria kwa nini US ni Taifa kubwa na hana mpinzani Duniani. Kuuzwa kwa ALASKA March 30, 1867 ninatafsiri kuwa...
43 Reactions
96 Replies
28K Views
Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. Na kwa Bahati nzuri akaweka kizuizi kwa kupitia uwezo wake wa kiungu hili tusiweze kushuhudia viumbe hivyo ambavyo havionekani kwa macho yetu...
41 Reactions
1K Replies
299K Views
Wana theolojia, na wengine wote, karibuni kwenye MADA,
6 Reactions
111 Replies
5K Views
🌳TUMESHINDWA KUUMILIKI ULIMWENGU WETU KWA KUUTAMANI ULIMWENGU WA HADITHI.🌳 Ulimwengu wa kweli umetengenezwa katika hadithi isiyo furahisha sana, unaonekana ni ulimwengu ulio jaa mateso ya kila...
9 Reactions
9 Replies
1K Views
Asilimia kubwa watu wakianguka chooni hufariki dunia au kupooza mwili. Kuna uhusiano gani kati ya kifo na chooni?
3 Reactions
583 Replies
144K Views
Uchawi si jambo geni madamu upo afrika uhitaji mtu akuelezee maana yake ni nini hasa, bali wahitaji kujua nauepuka vipi au ntautambuaje kama huu ndiyo uchawi wenyewe. Jibu lipo hapa leo ntataja...
13 Reactions
14 Replies
36K Views
Kama kawaida, mtoto akipata nafasi ya kwenda kucheza Kwa jirani anaitumia vizuri.. Ok Moja Kwa Moja kwenye mada, Kwanini binadamu si binadamu Bali ni mnyama aliyezunguka porini Kwa miaka 150k...
2 Reactions
7 Replies
678 Views
“You can’t make a wise man a sláve, you can’t make a waŕrior a sláve. When you and I came here, or rather when we were brought here, we were brought here from a society that was highly civilized...
5 Reactions
6 Replies
707 Views
Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa “alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha...
19 Reactions
687 Replies
126K Views
JINSI MAKOMANDO WA ISRAEL WALIVYOWAOKOA MATEKA 102 WALIOFICHWA UGANDA KWA DAKIKA 58 Serikali ya Israel imeapa kulipa kisasi kwa shambulio la kushtukiza la kundi la wanamgambo wa Hamas ambalo ni...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Bill Gates was invited by a high school to give a lecture. He arrived by helicopter, took the paper from the pocket where he had written eleven items. He read everything in less than 5 minutes...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa kifupi tuanze kujadili dhana ya kifo ninayoiamini "Kifo ni kuondoka taratibu kutoka Sasa Hadi zamani. Yani kutoka kuto kuwepo na kuwepo(kuzaliwa) kutoka kuwepo na kutokuwepo Tena(kufa)...
8 Reactions
94 Replies
8K Views
Hapo kabla NGUVU KUU iliyokuwa mahali pamoja ilipata kugawanyika katika sehemu kuu tatu. Japo chanzo cha kugawanyika kwa nguvu hizo hakijawahi kuwa bayana. Nazo nguvu hizo ni nguvu ya UHAI, KIFO...
0 Reactions
0 Replies
602 Views
Tangu nakua mpaka leo nimezeeka, nimekuwa nikisikia watu wakisema kuwa "malaika mtoa roho anaitwa Israili". Sina hakika kama huyo Israili jina lake linatokana na jina Israel au lah. Kwa watu...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Natumai humu nyote ni wazima wa afya njema kabisa ,pole kwa yote lakini leo napenda kutoa mchango wangu kidogo kulingana na nilichopata kukiona au kujidhihilisha juu ya swali gumu ambalo limekosa...
55 Reactions
1K Replies
140K Views
Iwapo ufahamu wako ndiyo kitu pekee kinacho-exists basi tambua ya kuwa wewe ni kila kitu na kila mtu. Katika nyakati fulani za wakati usiosemekana ulikuwa kila kitu unachokitambua. Ulikuwa jua...
13 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari wakuu, Hili swali mpaka leo sijajibiwa mpaka nimewauliza baadhi ya viongozi wa dini,naishiwa kuambiwa ninakufulu. Lets say God anajua kila kitu past, present and future inamaanisha God...
7 Reactions
12 Replies
722 Views
[emoji2788]Katika utangulizi wa somo letu hili tulijaribu kuwekana sawa kidogo kuhusu Mambo haya ambayo tunawafundisha. katika masomo yetu Wala hayaangalii wewe Ni Dini gani kwa sababu masuala ya...
13 Reactions
66 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…