Kifo ni sehemu ya asili ya maisha ya binadamu, na kila mmoja wetu anajua kuwa siku moja, maisha yetu yatakwisha. Ingawa ni jambo lisiloepukika, kifo bado linabaki kuwa suala gumu na...
Tunajidili namba tatu kivingine leo... Sio tatu kama tatu la hasha bali mara tatu.
Tuangalie kwanza jinsi uhai unavyotengenezwa;
Makutano ya jinsia mbili tofauti
Kutungwa mimba
Kuzaa
Mfano huu...
Baada ya Mgogoro mkubwa wa Kanisa uliozaa Makanisa mawili - Western Roman Catholic Church na Eastern Orthodox Catholic Church mwaka 1054, Kanisa la Magharibi ambalo ni Western Roman Catholic...
Wakuu,
Moral philosophy ni tawi la falsafa linalohusu nadhalia za maadili (Ethics) na kanuni za maisha. Falsafa hii inamtaka mtu mtu kufanya maamuzi yake kwa kuangalia/kupima faida na hasara...
Kamwe huwezi kudanganya kifo. Michael Jackson alitaka kuishi kwa miaka 150. Aliteua madaktari 12 nyumbani ambao wangemchunguza kila siku kuanzia nywele hadi kucha. Chakula chake kilijaribiwa kila...
DONALD Trump ni Rais wa 45 wa Marekani. Hicho cheo chake sina shida nacho. Trump ni bilionea wa dola, kwa Shilingi ya Nyerere, ni trilionea. Nina kazi muhimu leo na huo utajiri wake.
Trump ni mtu...
Majasusi wa Mossad walivyoiba mkojo wa Rais Hafez Al-Assad wa Syria kwa kutumia choo cha bandia.
Rais wa zamani wa Syria bwana Hafez Assad (Baba yake na Bashar, rais wa sasa) alikuja kugundua...
Sasa wazee habari zenu kwanza, Heri ya mwaka mpya,
Kwa upande wangu baada ya hii AI ya Deepseek kuvumbuliwa nikajua labda inaweza kuleta school of thought mbadala kabisa kwenye hill swali pendwa...
A contingent multitude repudiates the plausibility of a Supreme Being, yet the meticulous orchestration of cosmic mechanics inexorably intimates an omniscient Architect. Empirical inquiry...
Naam am back,
Wadau wa JF je mnaikumbuka kashfa au skendo maarufu ya kisiasa kuwahi kutokea na kuitikisa Marekani miaka ile ya 1970s?
Hii ilikuwa ni kashfa kubwa ya kisiasa iliyomkumba rais wa...
LUTENI Kanali Coelestine Seromba aneyedaiwa kutoroka ndani ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), bado hajulikani alipo hadi hivi sasa. Msemaji wa JWTZ, Meja Erick Komba ameliambia gazeti hili...
Rais wa 45 wa Marekani, Donald J Trump ni moja ya binadamu wenye mafanikio sana duniani, japo kisiasa watu wanaweza kumbeza lakini huyu ni mtu ambaye anajua maana ya mafanikio, wakati wa mahojiano...
''Usipoteze machozi ya leo kwa huzuni ya jana, dhambi ya zamani inatupa kivuli kirefu"
...................................................................................
Kisiwani Throne...
Special thread for discussing espionage business and other closely related issues:
Bila shaka wote mu wazima wa afya humu JF.
Kama ambavyo heading inavyojielezea hapo juu ni swali nililokuwa...
OPERATION BARRACUDA: "MISSION HATARI ZAIDI YA KIJASUSI KUFANYIKA AFRIKA" ILIYOSUKWA KUTAMATISHA MAISHA YA PATRICE LUMUMBA, NA KUZIMA NDOTO YA KILE KILICHOITWA MUSTAKABALI WA KONGO.
Na. Comred...
USHINDI WA KAMARI:
Hii ni spell rahisi itakayo kufanya ushinde michezo mbalimbali ya kamari.
lakini kumbuka kuwa kamari ni michezo mibaya na haramu lakini watu wamejikuta wakicheza na kulazimika...
Hello peoples..
Hebu tujisaule hapa kwa kuchanganya maarifa juu ya UTUPU kwenye ulimwengu, swali la msingi ni kuwezekana kwa hali ya utupu, namaanisha hivi mpaka sasa binadamu na teknolojia yake...
Mfahamu J. Edgar Hoover kachero aliyeogopeka zaidi katika historia ya Marekani.
1. Jina lake halisi ni John Edgar Hoover lakini alipenda kujulikana zaidi kama J. Edgar Hoover. Ni Kachero...
Wahuni wa huku wana maneno mengi kuliko vitendo
Wahuni hawajiheshimu
Wahuni wanaomba mungu awalinde
Wahuni wengine wanatutishia kwamba tutaona, vipi kumbe tulikuwa hatuoni au mmelenga...