Wakuu habari zenu,
Kichwa cha habari kinajieleza. Ningependa kufahamishwa kwa nini mtu akitaka kufanya jambo baya utasikia akisema NITAKUFANYIA UMAFIA au utasikia akisema MIMI NI MAFIA...
Wadau;
Nimeshuhudia baadhi ya watu wakivaa mavazi na kuweka badge ya bendera ya Taifa la Tanzania
Mfano vazi la suti alafu kunakuwa na ki badge cha bendera
Nini maana ya hii badge?
Je ni kila...
Nimekuwa nikijiuliza! Hivi kwanini wahamiaji wanaovuka bahari kuingia Europe kutoka Afrika ya kaskazi huwa boti zao zina zama mara kwa mara au Nyani Wamezidi Europe Wanaamua Kudhibiti wimbi la...
Friedrich Hegel (August 27, 1770 November 14, 1831) mwanafalisafa wa kijerumani alishawahi kuchambua uwezo wa binadamu duniani na katika uchambuzi wake sisi waafrika (kusini mwa jagwa la sahara)...
Bristling with state of the art weaponry, armed with a remote control turret, and equipped with outer armour that explodes on impact to stop shells reaching the crew inside - this is the new...
Tahadhari kwenu, kuelekea ''new world order''
Baadhi ya viongozi tayari wameshapokea masharti ya namna ya kuiongoza Tanzania kutoka kwa wenye nchi.
Sharti jipya ni kuhalalisha ushoga tanzania...
Katika vyou mbalimbali vya kijeshi na vya kawaida kuna kozi inayoitwa Hermanurtics katika somo hili wanafunzi wanatakiwa kuchambua kazi fulani na kupata mawazo msingi ya mwandishi/mtunzi/msanifu...
11:42 15.06.2015
Russia has developed super-high-frequency gun capable of deactivating unmanned aerial vehicles (UAV) and the warheads of precision weapons at an impact range of ten kilometers...
Wafaransa ni watu Fitna kuliko watu wote Duniani. Ni mabingwa wa kupandikiza chuki, undumi la kuwili na mambo kama hayo. Nchi zote zilizotawaliwa na wafaransa/wabelgiji mpaka leo hii hazikaliki...
Tangia kuanzishwa kwa kampuni hii ya VIETTEL TANZANIA LTD kumekuwa na ongezeko kubwa sana ya raia wa VIETTNAM hapa Tanzania, Je serikali hailioni hili? Je uhamiaji hawalioni hilo? Imekuwa kero...
Heshima kweni wakuu. Nilikuwa nasikia halafu nikajionea mwenyewe. Mtu anapiga kelele, kutetemeka na kusema maneno ya ajabuajabu eti kapandisha shetani.
Inakuwaje sipati jibu. Nawaombeni...
Nafasi kubwa ya urais ninaamini ni mpango wa mwenyezi Mungu ila Je, tangu utoto wao hawajaahi kuoteshwa jambo lolote linaloashiria mamlaka hayo makubwa duniani na Je, wao huwa na mawazo kama yetu...
Psalm 19:1-3 - "The heavens declare the glory of God; and the firmament shows His handiwork. Day unto day utters speech, and night unto night reveals knowledge. There is no speech nor language...
Kwa ambaye hajawahi kusikia committee of 300 hawa mabwana ndo wanaendesha dunia na bara letu tutaishia kuwa maskini wa kutupwa tusijidanganye na wanasiasa wale hawana maamuzi yoyote ni mbwa tu...
Yoga ni nini?
Neno Yoga limetoka katika linga ya Sanskrit katika neno "Yuj" likiwa na maana ya "kuunganisha" au "muungano". Mwanaume anayefanya Yoga anaitwa Yogi na mwanamke anayefanya Yoga...
Wadau,
Leo nimeamini kweli Sir Prof God ni wa ajabu sana! Kumbe bhana wadudu jamii ya mchwa au sisimizi huwa hawalali kabisa katika maisha yao yote ya hapa duniani! Vipi wewe ulikuwa unafahamu...
Utafiti wa Kisaikolojia Na Uliohusisha Uwezo Mkubwa Wa Akili za Mwanadamu Uliofanywa Na Maprofesa Bingwa Na Hodari Duniani Huko ktk Chuo Kikuu Cha Cape Town Afrika Ya Kusini Umegundua Yafuatayo...
Leo kuna jamaa mmoja nimemsikia akisema wanawake wa baadhi ya makabila hapa Bongo wanaitumia damu hii kuwaangamiza waume zao waliowachoka.
Alinitajia makabila hayo ambayo kwa kweli yana kashfa...
Nimekua nikitafakari kwa nini wazungu roho zao zinaasi kwa kiasi hiki? Mara nyingi hua naangalia chanel inaitwa investigation discovery hua wanaonyesha sana kesi mbalimbali za wazungu kwa mfano...