International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Meja Jenerali Gagandeep Bakshi, afisa mkuu mstaafu katika Jeshi la India, juu ya Uturuki: "India ni nguvu ya nyuklia, India ni nguvu ya anga. Tunaweza kulipua kuzimu kutoka Uturuki ikiwa...
0 Reactions
14 Replies
973 Views
Wakati raisi Donald Trump akijitayarisha kuanza ziara ya mashariki ya kati hivi punde,utawala huo umeonekana kubadili nia ghafla kuhusiana na vita vya Gaza. Katika ziara hiyo raisi Trump...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Hali ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Yemen mjini Sanaa siku moja baada ya shambulio kutoka Israel. Hakuna kilichosalia. Inasemekana Yemen wamedai kupata hasara ya dollar za kimatekani nusu...
6 Reactions
49 Replies
4K Views
IDF- THE MOST MORAL ARMY IN THE WORLD !
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traore amewasili mjini Moscow nchini Urusi leo tarehe 8 Mei 2025. Kapteni Traore ni miongoni mwa viongozi walioalikwa nchini Urusi kwa ajili...
9 Reactions
34 Replies
3K Views
Kumetokea mapigano yasiyo ya kawaida eneo la mpaka wa kusini wa Gaza na kupelekea kikundi kikubwa cha askari wa Israel kuripukiwa na bomu wakati wamo ndani ya jengo moja mpakani huko. Habari hizo...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Waziri wa ulinzi wa Pakistan akiwa mubashara na CNN kaulizwa atoe ushahidi wa Pakistan kuzilipiua ndege za vita za India. Kashindwa kutoa ushahidi Na kudai mbona ushahidi upo kwenye mitandao ya...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Rais Donald Trump wa Marekani hivi karibuni ametangaza mpango wa kutoza ushuru wa asilimia 100 kwa filamu zinazotengenezwa katika nchi za kigeni na kuoneshwa nchini Marekani. Hatua hii ni sehemu...
0 Reactions
1 Replies
485 Views
Mkuu wa Wafanyakazi wa IDF Lt. Jenerali Eyal Zamir alitangaza kuanzishwa kwa "Awamu B" ya vita vya Israel dhidi ya Hamas wakati wa ziara ya Kitengo cha Gaza siku ya Jumatano, akiwaambia makamanda...
3 Reactions
5 Replies
427 Views
Huku Pakistan wakiendeleq kuuguza kipigo cha India ambapo walipoteza miundo mbinu na magaidi 33 wa dini tayari wameanza kupokea milipuko humo ndani... Mnalo nyie watu, mnataka mpigane na kila mtu...
1 Reactions
9 Replies
959 Views
Kama Habari inavosema kutoka ukurasa rasmi wa Ayatollah Kiongozi mkuu wa Iran, amehoji sababu za ulazima na msingi Watu waende Hijja. Naona Watu wanahisi Ayatollah hakusema hayo. Mjadala...
18 Reactions
276 Replies
8K Views
Majeshi ya israel sasa hivi yanawashughulikia magaidi wa Hezbollah kwa kuzishambulia kambi zao zilizoko huko Lebanon kusini.
5 Reactions
16 Replies
842 Views
Hawa jamaa wanazidi kujijenga kijeshi kwa speed ya radi, uwezo wao wa sasa sio wa miaka 10 au 20 iliyopita, wame transform mambo mengi, Jeshi la Rwanda limewezesha kuondoka kwa wanajeshi wa...
4 Reactions
49 Replies
2K Views
Fuatilia mjadala wa Bunge la Ulaya kuhusu sakata la Tundu Lissu unaoendelea mchana huu, Mei 7, 2025 Pia soma Pre GE2025 - Bunge la Ulaya kufanya kikao cha dharura Mei 7, 2025 kujadili suala la...
25 Reactions
132 Replies
11K Views
IDF na Shin Bet walifunga mduara: Mohammad Rasmi Marzouk Baraka, gaidi wa Hamas ambaye alishiriki katika mauaji ya Oktoba 7 na kumteka nyara mnusurika wa mauaji ya kinyama Yaffa Adar mwenye umri...
0 Reactions
0 Replies
325 Views
Baloch Liberation Army (BLA) imekiri kuhusika na mashambulizi mawili mabaya dhidi ya vikosi vya jeshi la Pakistan huko Balochistan, yaliyosababisha vifo vya wanajeshi 14, wakiwemo maafisa wa ngazi...
4 Reactions
8 Replies
633 Views
Tunatoa mtazamo wa kina wa kile kinachotokea ndani ya Sistine Chapel katika muda mfupi kabla ya kuonekana kwa moshi mweupe, na kile kinachofanyika kabla ya tangazo linalotolewa na Kardinali...
3 Reactions
5 Replies
678 Views
Mafundi bomba wameonekana kutoka mbali ndani ya Rome wakirekebisha lile bomba linalotoa moshi wakati wa uchaguzi wa papa baada ya aliyemtangulia kufariki dunia. Pamoja na harakati za uchaguzi huo...
6 Reactions
69 Replies
4K Views
Zoezi la kuzizungusha maiti mitaani za magaidi waliouwawa wakifanya Ugaidi huko Khan younis linaendelea katika mitaa mbalimbali katika jiji hilo.
0 Reactions
0 Replies
267 Views
Baada ya kipigo cha jana na leo magaidi wa Houth wamesalimu amri na kuahidi hawana shambulio tena Meli huko Red-sea hayo yamesemwa na Rais Donald Trump baada ya Magaidi hao kumjulisha hayo. Kwa...
5 Reactions
71 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…