Mashambulizi haya yametikisa misingi ya ulinzi wa Iran, uu si mzozo wa kawaida, ni vita ya akili, ujasusi na teknolojia.
Ndani ya lisaa pekee usiku wa manane Israel waliweza kushambulia viongozi...
Rockets slammed into an Iraqi airbase north of Baghdad on Sunday where US troops have been based, wounding at least four Iraqi troops. No immediate information about American casualties was...
Hiyo ni video ya leo ndege ya F 35 Ikionekana ikiambaa ambaa anga la iran ikicheza alafu ikapotea[emoji23][emoji23][emoji23]
Namna iran ilivyokuwa inajisifia na ilivyobondwa aibu sana
Mtu...
Historia ya Wayahudi wa Iran ilianza Iran (zamani ikiitwa Uajemi) imekuwa na jumuiya ya Wayahudi kwa maelfu ya miaka. Kabla ya Mapinduzi ya Kiislamu ya 1979, kulikuwa na zaidi ya Wayahudi 80,000...
Iran anaenda kupigwa na NATO kipigo kitakatifu sana.
SI Wachina Wala Warusi watafanya kitu.
Baada ya Hapo, NATO itajipanga ,Kipigo kitahamia Kwa Warusi na Kumalizia Kwa Wachina !!.
CCM Watch...
ISRAEL NA IRAN 2025
KUCHOKOZA FUKUTO LA VITA KUBWA ZAIDI MASHARIKI YA KATI
Je, Israel Imezuia Vita vya Nyuklia au Kuianzisha?"
Na
MALEKOGJ
Katika saa za giza alfajiri ya Ijumaa, jeshi la...
Wakuu,
Kumbe hadi huko Marekani kuna kauli za kishujaa kama hizi? Nikadhani ni kina Muliro tu ndio wanaotoaga vitisho kama hivi kwa wananchi
=====================
Mkuu wa Polisi wa Kaunti ya...
Wadau hamjamboni Britain has “grave concerns” over Iran’s nuclear program and believes Israel has the right to self-defense, Prime Minister Keir Starmer told his Israeli counterpart Benjamin...
Utawala mpya wa Marekani umeshtuka kwamba hawawezi tena vita vya ana kwa ana na mataifa mengine ndio maana kwa sasa imeamua kupigana nyuma ya mataifa madogo kama Ukraine na Israel
Kwa upande wa...
Tazama jinsi mmoja wa viongozi walio uwawa alivyopigwa akiwa chumbani kwake sijui amelala au anamgegeda wife
Unajiuliza hawa jamaa walikusanya vipi hizi intel na kupiga shabaha zao zote kwa ufani...
Ripoti kutoka vyombo vya habari vya Iran zinaeleza kuwa kumekuwa na shughuli kali za ulinzi wa anga karibu na Uwanja wa Pasteur jijini Tehran, eneo ambalo liko karibu na makazi rasmi ya Kiongozi...
Kumekuchaa....jamaa wamewahishwa kwa mabikira.
The likelihood is increasing that the Iranian General Staff, including the Iranian Chief of Staff Mohammad Bagheri, and senior nuclear scientists...
Hakuna wasiwasi wowote kwamba mashambulizi ya Israel ndani ya Iran yaliyopelekea kushambuliwa kwa vinu vyake vya nuklia na kuuwawa kwa makamanda wake wa kijeshi pamoja na wanasayansi wake wa juu...
Iran Leo wamepata pigo la kuondokewa na Mkuu wa Majeshi kufuatia shambulio la Israel. Apumzike kwa amani Jenerali
===
Kamanda Mkuu wa Walinzi wa Mapinduzi Jenerali Hossein Salami, ameuawa katika...
Tangazo la IDF litakuwa rahisi tu, "Iran will no longer be able to sponsor terrorism for the next 200 years"
Israel atahack mifumo ya ulinzi wa anga wa Iran na kuitumia kulipua maeneo mbalimbali...
Napata raha hadi naumwa, Trump alionya Iran kwamba watapigwa wakashupaza shingo, makamanda waliokua na misimamo mikali leo wamewahishwa kwa mabikira, Israel imesema bado haijakamilisha mapigo na...
There are estimated to be only a few hundred thousand believing Catholics left in the world today. It is believed that even these few do not actually believe in Jesus Christ,but in the doctrine...
Wadau hamjamboni nyote/. Hakiki ni Raha kubwa kwangu kujua kuwa Mwamba wa ukweli Benjamin Netanyau yuhai kabisa. Yes indeed he's very much alive. Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu is...
Wadau hamjamboni nyote. Advertisement
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema katika taarifa ya video kuwa agizo la kuangamiza mpango wa nyuklia wa Iran lilitolewa mwezi Novemba 2024...