Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Akizungumza katika mahojiano na Clouds tv katika kipindi cha Live on Clouds 360 Mchambuzi wa Masuala ya Siasa nchini, Salehe Mohamedi amesema "Tukubaliane nchi haiwezi kuendelea bila mikopo. Hiyo...
0 Reactions
0 Replies
123 Views
Hiyo ndo kauli mbiu ya Rais Samia. Kwa ufupi ataendelea kuwakaanga vijana wenu mpaka mseme poo yule, mshipa wa ubinadamu ushampotea Hakuna sehemu nchi inapelekwa hii zaidi ya kudumbukia shimoni...
5 Reactions
1 Replies
128 Views
Kwa matamshi yake ya leo ni dhahiri mambo yote yalio tokea 29 Oktoba yalikuwa na baraka zote kutoka kwa Rais na watendaji wake. Hivyo basi tume iliyoundwa kamwe haiwezi kuwa na majibu yenye...
1 Reactions
1 Replies
235 Views
Kuhusu bodaboda wapewe mwisho lita 2 lilikuwa suala kupitiwa wakati wakiwa wanasikiliza maelezo toka kwa wakubwa wao. Makanusho ya serikali ya CCM ni kwamba wanachotaka kukifanya kilisha link na...
0 Reactions
1 Replies
238 Views
Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima limedai kupoteza mali zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 2.007 baada ya kufunguliwa tena kwa kanisa hilo kuanzia Novemba 24...
5 Reactions
42 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan jana Novemba 29,2025 ameongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu...
1 Reactions
22 Replies
759 Views
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa maelekezo kwa Mameneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) nchi nzima kuhakikisha hakuna foleni zisizo na sababu zitakazokwamisha na kuzorotesha...
0 Reactions
6 Replies
252 Views
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa miezi miwili kwa kampuni ya Shandong Luqiao Group kukamilisha ujenzi wa Barabara ya Mwenge – Tegeta kama mkataba unavyosema la sivyo serikali itauvunja na...
1 Reactions
4 Replies
263 Views
Kwa yaliyotokea, Nilitegemea kuna baadhi ya watu wangekataa teuzi ili kuonesha hawakubaliani na yanayoendelea kupitia serikali hii hivyo kuonesha uzalendo. Kukaa kimya na kufurahia teuzi...
9 Reactions
13 Replies
404 Views
Hii Serikali haramu. Ni haramu n inaendeleza uharamu wake kila siku kukicha Huwezi kuendeleze undugu kwa kiasi hicho na huo ni mfano mdogo. Tuu ni ndugu wangapi wako kwenye mfumo kisaa tuu...
2 Reactions
4 Replies
229 Views
Kwahiyo wewe Lulu unataka kutuambia kwamba kila mtu angeomba msamaha angesamehewa? Lakini pili wewe si unajifanya mpambania wananchi kama ulikuwa unasema vilivyo na maslai ya wananchi kwanini...
2 Reactions
4 Replies
282 Views
Rais Samia ili kulinda heshima yake aliyoijenga muda mrefu kwenye siasa ni vyema washauri wake wamshauri kuwajibika kujiuzulu Wote tunajua na kutambua uongo na ulaghai wa iNEC kuwa Watanzania...
17 Reactions
31 Replies
719 Views
Kama Sio Mungu na akili za kusurvive basi nisingekuwapo Nyumba yetu imetawaliwa na matobo ya risasi, kibaraza watu walichokuwa wanaketi watu ilibaki kidgo wamwagwe utumbo. Nilikuwa mlangoni...
13 Reactions
34 Replies
1K Views
Huenda shetani ndie binadamu mwenyewe haiwezekani kuua watoto wadogo kwa risasi sasa huyu mtoto kosa lake nini lbd? Afu kuna watu wanashabikia hii serikali ya wauaji. Samuya kaa ukijua auaye...
12 Reactions
71 Replies
3K Views
CCM, Samia na wahuni wote watanzania tumewakataa hatuwataki Mnataka watanzania tufanye nini ili msikie kwamba hatuwataki tuachieni taifa letu hamna cha kutudangaya watanzania sasa hivi...
6 Reactions
13 Replies
335 Views
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ametoa wito kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa kata na polisi kata wilayani humo kuhakikisha vijana, hususan wale wanaojishughulisha na...
1 Reactions
12 Replies
337 Views
Kutuhumu Jeshi la Polisi au chombo chochote cha usalama kwamba kimeiba mali au fedha, hasa bila ushahidi wa moja kwa moja, ni jambo lenye uzito mkubwa na athari kubwa. Baadhi ya athari hizo ni...
4 Reactions
132 Replies
3K Views
Hili nililiona mapema kabisa hata kabla ya uchafuzi mkuu wa OCTOBER 29 2025 Katika mkanganyiko wa kupoteza madaraka ccm wakafanya waliyofanya na matokeo yake yakaonekana wazi dunia nzima Kwa...
6 Reactions
11 Replies
506 Views
Guys nimeona vyombo vya habari na zile taasisi za "mama this, mama that" zikitoa data za kupikwa za vitu vilivyoharibiwa MO29. Guys. Guys. Sasa ikiwa hata pikipiki zilihesabiwa na kujulikana...
4 Reactions
13 Replies
435 Views
Katika Afrika Mashariki ni ngumu kuweka ukabira kwa nchi ya tanzania ila awamu zote aliyeanza kuleta ukabira wazi wazi ni mwendazake Magufuli. Katiba mbovu ya Nyerere na mfumo wa ovyo wa CCM...
4 Reactions
6 Replies
294 Views
Back
Top Bottom