Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imesema ipo haja ya kufanyika kwa mazungumzo ya kitaifa yenye kujumuisha wadau mbalimbali ili kufanya tathmini ya matukio yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu na...
0 Reactions
2 Replies
167 Views
Pastor Nganga kutoka Kenya amewata wabunge wa Kenya kuzungumzia kile kilichotokea Oktoba 29, 2025 Tanzania akidai zaidi ya watu 3000 kuuliwa lakini wamegoma kulizungumzia hilo bungeni.
0 Reactions
2 Replies
245 Views
Askofu Michael Msonganzila wa Jimbo la Katoliki Musoma ameeleza kuwa Wananchi waliomba Uchaguzi wa amani lakini imekuwa tofauti watu wengi wamepoteza maisha mbaya zaidi hata wasio na hatia...
2 Reactions
5 Replies
323 Views
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), limetangaza maombi ya siku saba kuombea walioathirika na yaliyotokea siku ya uchaguzi, huku likitoa wito kwa serikali kuwatendea haki raia wote...
1 Reactions
2 Replies
246 Views
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka watumishi wa umma katika wilaya hiyo kuendelea kutoa huduma kwa wananchi licha ya changamoto zilizojitokeza baada ya baadhi ya ofisi zao...
0 Reactions
6 Replies
252 Views
Habari wanaJF, Ni siku nyingi sana sijazungumza humu. Nimekuwa tu zangu macho kufuatilia matokeo ya uchaguzi na ghasia na fujo zilizotokana na uchaguzi huu. Jamani, Mungu awape utulivu...
25 Reactions
82 Replies
4K Views
Habari za jumapili Wana bodi! Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza nimejaribu kuwaza hivyo, je tutarajie jambo kama Hilo kwa miezi mitatu ijayo? Ipo wazi, impacts za Oct 29,2025 hazitoonekana...
1 Reactions
15 Replies
467 Views
JWTZ Haina Sifa ya Kuwa Jeshi la Wananchi Katika muktadha wa mageuzi ya kijeshi na kisiasa duniani kote, tunapaswa kujiuliza: je, Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lina sifa ya kuitwa "Jeshi...
5 Reactions
9 Replies
619 Views
Back
Top Bottom