Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

FAMILIA YA ZORRO MIONGONI MWA FAMILIA ZILIZOTUNYIMA KOLABO KALI. Sikumbuki ni nani alikuja na wazo la kutengeneza albamu iliyoitwa BABA NA MWANA! Ilikuwa ya moto sana na ilikuwa na ladha TOFAUTI...
20 Reactions
26 Replies
4K Views
Mfanyabiashara maarufu, Fred Vunjabei amemtolea uvivu Mwijaku na kumtaka aache kumhusisha na ishu za utajiri, baada ya Mwijaku kudai kuwa Fred ana utajiri mkubwa kuliko Diamond Platnumz, wakati...
8 Reactions
21 Replies
2K Views
Nina furaha nimerudi tena uwanjani hapa ikiwa ni toleo langu la saba sasa kuhusu movies mbalimbali. Ni matumaini yangu mko salama. Sasa Weekend ndo' hiyooo inasogea, wengine hatuna mambo ya clubs...
31 Reactions
190 Replies
25K Views
😂😂 hivi huyu Dulla Makabila ana nini kwani? Jamaa amekuja na tuzo zake "Makabila Awards" na ametangaza vipengele tisa vilivyojaa utani, kuna UVUMILIVU, FITNA YA MUZIKI, CHAWA BORA mpaka KUPENDA...
2 Reactions
2 Replies
832 Views
Wakuu mbali mbali niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni mpenzi mkubwa wa hii tv show inayofahamika kama GOT na ninaamini ni series bora ya muda wote tangu kuumbwa kwa Adam(mawazo yangu)...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Kamati ya Tanzania Music Award (TMA) leo imeanza kutangaza Vipengele vya wanavyowania tuzo za muziki nchini kwa kuanza na vipengele vitatu ambavyo ni Mwanamuziki bora wa kiume wa mwaka, wimbo bora...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Disclaimer:imesimuliwa na Martin Izze Chimbuko la muziki wa kizazi kipya tanzania na maana halisi neno Bongo Flava (SEHEMU YA KWANZA) Moja kati ya mambo niyapendayo mno maishani ni...
11 Reactions
24 Replies
13K Views
Rapa Rich Homie Quan (34) amefariki dunia leo Alhamisi Septemba 5, 2024 na taarifa za kifo cha msanii huyo zilianza kusambaa mtandaoni, huku wasanii wenzake kama Boosie Badazz na wengine wakituma...
0 Reactions
1 Replies
575 Views
Hili goma nimecheka sana ila chid benzi katisha. Big up sana
1 Reactions
2 Replies
672 Views
Waliosoma miaka hiyo hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 nadhani hapa mnaweza kukumbuka mengi. Tusipoteze muda twende moja kwa moja kwenye top ten yenyewe; 1. End of the road - BOYZ II MEN 2. I love...
5 Reactions
28 Replies
4K Views
intro Mokili ekoti matata di The world is full of troubles Eric Mandala le docteur des ignorants et Maria Piron Eric Mandala the Doctor of the Ignorant and Maria Piron Wo-wo-wo-wo...
7 Reactions
10 Replies
1K Views
Anaimba " bwana we .. bwana weee....niambie ukweliii...bwana we ...bwana weee.... nimechoka kudanganywaaaa... Kiitikio- wacha wacha wacha wacha wacha uongo wako bwanaaa eeeh! Nimeshagundua... na...
2 Reactions
9 Replies
694 Views
Upendo.
3 Reactions
3 Replies
385 Views
Habari za asubuhi wakuu Nina story fupi ya mtoto wa miaka 8 alifanya nijute kukaa UGENINI lengo la story hii tujifunze na tukemee vitendo visivyofaa kwenye jamii ili kudhibiti matukio ya ubakaji...
10 Reactions
129 Replies
21K Views
habari za majukumu wadau. naombeni yeyote ambaye ana wimbo wa tenzi za rohoni ulioimbwa kwa english anisaidie. iwe video, audio au jina la wimbo na jina la aliyeimba. natanguliza shukrani
2 Reactions
13 Replies
14K Views
Usije sema hukuambiwa. Kama kawaida huku ni nyama nyingi, ugali kidogo. 1. SECRETARY Baada ya kutoka hospitali ya magonjwa ya akili kwasababu ya tabia ya kujidhuru mwenyewe, sasa bibie Lee...
12 Reactions
47 Replies
7K Views
Wimbo wa NI WAJIBU KUMShuKURU BABA NYERERE WA HAYATI Capt. JOHN KOMBA, HAUCHUJAGI Tukielekea katika kuadhimisha kumbukizi ya maisha, kazi na kifo cha hayati Baba wa Taifa Oct 14ijayo, Hebu pata...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu! Natumaini mko poa na ni wazima wa afya hasa watu wa jukwaa hili la entertainment. Nisifanye ajizi na niende moja kwa moja kwenye mada. Mapema mwaka huu BASATA walitangaza...
4 Reactions
1 Replies
521 Views
Nisikuchoshe na usinichoshe,tusichoshane!. Mimi ni mdau wa series hasa za crime & drama, sasa baada ya kuitazama series ya Prison Break kwa kuirudia mara kadhaa na kujiridhisha kwa mambo kadhaa...
12 Reactions
134 Replies
10K Views
Kwa wale wa audiomack https://audiomack.com/icardi-b/song/uwezo?share-user-id=135273533 Kwa wale wanaotaka audio hio hapo... Comment if u need to...share if you like it
0 Reactions
2 Replies
253 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…