Wakuu hili ni swali la ufahamu tu maana nimesikia vibao kadhaa wa kadhaa huko tena baadhi ni vya wanamuziki wa hapahapa bongo.
Je wanalipwa hawa au ndo mambo ya uzalendo kwanza?
Kwa mujibu wa RAP CAVIAR na Spotify hizi ndio ngoma 50 zenye Beats kali kuwahi kufanywa.
Una maoni gani hapa?
1. Still Dre - Dr. Dre & Snoop Dogg
2. Shook Ones Pt. II - Mobb Deep
3. Grindin' -...
Acha tamaa mwangu yo
Amenikanya Mama alienizaa
Jichuuunge yeye amesema yeye yeyee
Tukitafuta pesa eti tutaigaaa tabia mbaya
Hakuna aliezaliwa ni mwizi
Saviè Kandoro Papa
Hakuna aliezaliwa ni...
Christopher Nolan’s Odyssey film will cast Kenya’s Lupita Nyong’o as Athena, leaving fans puzzled.
Athena is the Greek goddess of wisdom, war, and oil. She is also the patron goddess of heroic...
Serikali ya Wezi, Taifa la Waliodanganywa S01 Episodi 01
*********
Ni Alfajiri hapa Mwiki,Kasarani jijini Nairobi. Alfajiri hii ni kama zile alfajiri nyingine nyingi za mwaka. Alfajiri hii...
Mimi naanza na zangu hapa
1. All night long ya lionel Richie
2. La isla Bonita ya Madonna
3. Nightshift ya the commodores
4. Joe le taxi ya vanessa paradis
5. Save the best for last ya vanessa...
Katika dunia hii kila mtu amekuwa akiuchukia umaskini, na familia zisizokuwa na uwezo nazo zimekuwa zikifedheheshwa na watu matajiri wakiamini katika jamii hawana mchango wowote! Leo tunakutana na...
Kwanini kuna vibwagizo vingi sana hujirrudia kwenye nyimbo za Bolingo za wakongomani
Mfano ...Sikusala sikusala mamaa eeeh...mwana yaya kalumula sikusala eeehhh...tintiiitintiii
Namiss ile miaka zinatoka nyimbo kama Siachani Nawe (Baraka Da Prince), Basi Nenda (Mo Music), Sijazoea Masebene (Y Tony). Hizi ngoma hata zikipigwa leo ni kama mpya vile, waimbaji na producers...
Wimbo ufuatao una nguvu. Una nguvu inayoweza kubadili hali yako sasa hivi. Ni wimbo unaopaswa kuimbwa, kusikilizwa au kusomwa na kila mtu. Wimbo huu unakufaa wewe uliye na huzuni kwa sababu...
Wakuu habari. Naomba mnisaidie hii kitu, kuna movies flani zipo kwenye website flani flani ambazo huwezi kudownload, yani ni kuwatch online tu.
Sasa ningependa kujua naweza kupata website ambayo...
AZDA LYRICS WITH ENGLISH
November 02, 2024 - 02:10 PM
AZDA LYRICS WITH ENGLISH TRANSLATION BY FRANCO & TPOK JAZZ
Tokoki koloba oo
We can talk
Tokoki koyemba
We can sing
Tokoki kosomba
We can buy...
PETE YA MFALME WA EDEN
MTUNZI:JAFARI MPOLE
SEHEMU YA 01
Asubuhi ya Saa mbili kijana Jafari alikurupuka kutoka kitandani,alipotazama saa yake ya mkononi ambayo aliiweka karibu na mto alipolala kwa...
“ The Grammys is useless , I warned them never to put my name or invite me . They use famous people to promote their award and give to people you can’t even imagine “ Eminem
“ If I lose an...
SURA YA 1 - SAPRAIZ YA NGUVU
likua maajira ya saa tatu usiku kwenye jengo la gorofa la hostel ya wanaume katika chuo kikuu cha Mbezi Beach.
“Bilal, nenda gorofa ya kwanza chumba namba mia moja na...