Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa wakongwe, mnamkumbuka huyu dada enzi akikipiga na Marquiz du Zaire? Yuko wapi kwa sasa?
0 Reactions
3 Replies
969 Views
Wakuu hili ni swali la ufahamu tu maana nimesikia vibao kadhaa wa kadhaa huko tena baadhi ni vya wanamuziki wa hapahapa bongo. Je wanalipwa hawa au ndo mambo ya uzalendo kwanza?
3 Reactions
22 Replies
526 Views
Mwenye hii ngoma naomba aweke hapa, naipenda sana hii ngoma,tafadhali sana.
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Kwa mujibu wa RAP CAVIAR na Spotify hizi ndio ngoma 50 zenye Beats kali kuwahi kufanywa. Una maoni gani hapa? 1. Still Dre - Dr. Dre & Snoop Dogg 2. Shook Ones Pt. II - Mobb Deep 3. Grindin' -...
16 Reactions
145 Replies
11K Views
Acha tamaa mwangu yo Amenikanya Mama alienizaa Jichuuunge yeye amesema yeye yeyee Tukitafuta pesa eti tutaigaaa tabia mbaya Hakuna aliezaliwa ni mwizi Saviè Kandoro Papa Hakuna aliezaliwa ni...
2 Reactions
0 Replies
420 Views
Christopher Nolan’s Odyssey film will cast Kenya’s Lupita Nyong’o as Athena, leaving fans puzzled. Athena is the Greek goddess of wisdom, war, and oil. She is also the patron goddess of heroic...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama title inavyojieleza hapo juu, twende kwenye mada hapo juu. Nimesoma moja inaitwa CAPTURE OR KILL MISSION. Kama movie ..
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Serikali ya Wezi, Taifa la Waliodanganywa S01 Episodi 01 ********* Ni Alfajiri hapa Mwiki,Kasarani jijini Nairobi. Alfajiri hii ni kama zile alfajiri nyingine nyingi za mwaka. Alfajiri hii...
0 Reactions
5 Replies
824 Views
Mimi naanza na zangu hapa 1. All night long ya lionel Richie 2. La isla Bonita ya Madonna 3. Nightshift ya the commodores 4. Joe le taxi ya vanessa paradis 5. Save the best for last ya vanessa...
4 Reactions
26 Replies
7K Views
Usaili wa Kazi Konradi Kitumbo alitembea barabarani akitangaza tangazo lake, “La mgambo likilia kuna habari…” “Kuna jambo… Acha kuharibu maneno wewe!” Mpita njia alikosoa, Kitumbo akarudia...
1 Reactions
3 Replies
860 Views
Katika dunia hii kila mtu amekuwa akiuchukia umaskini, na familia zisizokuwa na uwezo nazo zimekuwa zikifedheheshwa na watu matajiri wakiamini katika jamii hawana mchango wowote! Leo tunakutana na...
1 Reactions
41 Replies
3K Views
Kwanini kuna vibwagizo vingi sana hujirrudia kwenye nyimbo za Bolingo za wakongomani Mfano ...Sikusala sikusala mamaa eeeh...mwana yaya kalumula sikusala eeehhh...tintiiitintiii
2 Reactions
11 Replies
469 Views
Namiss ile miaka zinatoka nyimbo kama Siachani Nawe (Baraka Da Prince), Basi Nenda (Mo Music), Sijazoea Masebene (Y Tony). Hizi ngoma hata zikipigwa leo ni kama mpya vile, waimbaji na producers...
4 Reactions
38 Replies
6K Views
Wimbo ufuatao una nguvu. Una nguvu inayoweza kubadili hali yako sasa hivi. Ni wimbo unaopaswa kuimbwa, kusikilizwa au kusomwa na kila mtu. Wimbo huu unakufaa wewe uliye na huzuni kwa sababu...
15 Reactions
65 Replies
3K Views
Wakuu habari. Naomba mnisaidie hii kitu, kuna movies flani zipo kwenye website flani flani ambazo huwezi kudownload, yani ni kuwatch online tu. Sasa ningependa kujua naweza kupata website ambayo...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu ndg zangu, hebu tupoteze mawazo kidogo hapa, Nataka kujua nyie wenzangu na mie dj Facebook na kidensa mc Nan mkali, 😁
1 Reactions
6 Replies
852 Views
AZDA LYRICS WITH ENGLISH November 02, 2024 - 02:10 PM AZDA LYRICS WITH ENGLISH TRANSLATION BY FRANCO & TPOK JAZZ Tokoki koloba oo We can talk Tokoki koyemba We can sing Tokoki kosomba We can buy...
0 Reactions
2 Replies
417 Views
PETE YA MFALME WA EDEN MTUNZI:JAFARI MPOLE SEHEMU YA 01 Asubuhi ya Saa mbili kijana Jafari alikurupuka kutoka kitandani,alipotazama saa yake ya mkononi ambayo aliiweka karibu na mto alipolala kwa...
8 Reactions
67 Replies
23K Views
“ The Grammys is useless , I warned them never to put my name or invite me . They use famous people to promote their award and give to people you can’t even imagine “ Eminem “ If I lose an...
0 Reactions
0 Replies
447 Views
SURA YA 1 - SAPRAIZ YA NGUVU likua maajira ya saa tatu usiku kwenye jengo la gorofa la hostel ya wanaume katika chuo kikuu cha Mbezi Beach. “Bilal, nenda gorofa ya kwanza chumba namba mia moja na...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…