Pamoja ya kusafiri na designer wake kuna kila dalili msanii diamond karudia kuvaa koti la suti aliliovaa MTVAMA kwenye BET Awards. Au hilo koti limepitia kwa babu nini?
Alafu ameshindwa kuelewa...
Tamasha la 'TribeOne Dinokeng' limeandaliwa na ROCKSTAR4000 na Sony Music Entertainment na litafanyika tarehe 26 - 28 September
Alafu mnasema Ally Kiba hajui mziki kijana mambo yake anafanya...
dah kiukweli huyu DAVIDO (miaka21) anamtesa sana kaka yake Diamond Platinuma(miaka26)
1.Tuzo za MTV Africa Music Awards zilizofanyika KwaZulu-Natal Davido alifanikiwa kuchukua tuzo mbili ikiwemo...
KIMENUKA !
Siku chache kabla ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuanza, ndoa ya Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM , Khadija Shaibu ' Dida' na mumewe anayepiga...
Katika jambo lililotokea kama suprize flani hivi, kwa mara ya kwanza katika historia ya muziki wa bongo fleva, nyimbo ya Diamond Platnumz Mynumber1″ ilienda hewani jana kupitia television...
Baada ya BET sasa tunarudi hapa #Afrimma awards(AFRICAN MAGAZINE MUSIC AWARDS)zitakazofanyika jijin TEXAS mwez july 26th.
Diamond yupo nominated category 5.
Best male east afrika
Song of the...
Kiukweli hawa wapo juu zaidi ya diamond ila hawapewi promo kama anavyopewa diamond wanajua kuimba vizuri sana hawa hapa wafuatao
Ben Paul
Bell 9
Ally Nipishe
Barnaba
Ditto
Amini
Kama...
Angalau hawa ndio watangazaji mahiri na wenye uelewa tulionao sasa. Agness Mbapu.Florence Dyauli.Shaban Kisu.Paul James.Kibonde.Isaac Gamba.Scolastika Mazula.Molesi.Ana Peter.Omunene Ssebo.Sued...
Wadau,
Katika hali ya kawaida,tumezoea kusikia na hata kuona mtu fulani akitajwa kuwa bora zaidi ktk jambo fulani.Ni kawaida kusikia fulani ni bora zaidi,mfano ktk...
Ridhiwani ambaye ni mtoto wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Kikwete, kupitia ukurasa wetu wa Facebook ameweza kuelezea mambo mbalimbali yanayomhusu wakati akijibu maswali ya...
Habari zenu wakuu!
Naomba kujua huyu jamaa mahali alipo. Halafu alikua na studio yake inaitwz 'Tetemesha Records' kazi zake hata sizisikii. Pia niliwahi kusikia alivamiwa na majambazi sijui...
TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye...
Ikiwa tumebakiza miezi mitano tu tumalize mwaka huu 2014, scandals na matukio makubwa mbali mbali ya kufuraisha na kuhuzinisha yametokea kwa baadhi ya mastaa wa fani tofauti tofauti apa nchini...
Pole kwa yaliyokukuta but cha kujiuliza pamoja na kuwa kwenye game zaid ya miaka 10 (kwa ufadhili wa Flora) iweje leo unalia lia tu kwenye media kuwa Flora kakuacha?
Kwani huna kisomo, nguvu na...