Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kama wengi tunavyojua competition imekuwa kali mno kwenye muziki wa Tz kitu kinachofanya kazi za wasanii wetu kufanya kazi kwa ubora zaidi, siku zote kufeli ndio mama wa kufaulu, wasanii wengi...
0 Reactions
37 Replies
19K Views
mchezaji Boateng amekuwa footballer wa kwanza kusign ktk lebo ya roc nation sports. Wanamichezo wengne walio ktk label hiyo ni staa Kelvin Durant, Victor Cruz na Skyler Diggins. Ishu hiyo...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Wadau nawasalimu, Baada ya kushindwa kwenye uchaguzi wa kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalumu singida, Wema Sepetu anapokelewa muda huu na washabiki wake kwa shamra shamra za kukata na shoka...
3 Reactions
208 Replies
27K Views
Ninaangalia Bongo Star Search majaji ni Master Jay, Salama Na Madam Rita mshiriki mmoja aliingia ambapo mshiriki huyo mwaka jana alitoa nyoka na kinyonga kutoka ndani ya nguo zake, sasa leo...
1 Reactions
56 Replies
8K Views
Sijui tuite ni ujinga,ushamba ama ni comedy? cheki hii comment japokua inasikitisha ila imenivunja mbavu sana!!
7 Reactions
40 Replies
6K Views
Yaani kwa leo video za ukweli hata audio anazoachia PHD kamwacha mbali,kuna watu walikuja kumfananisha humu mwaka uliopita,ila kwa sasa TID kafunikwa balaa. sina upendeleo
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Hizi pichaz zimechukua headlines sana Instagram, zinamwonesha Diamond Platnumz akiwa na mpenzi wake, Zari the Bosslady. Zari ana ujauzito na huenda time yoyote tukafikiwa na good news ya...
3 Reactions
55 Replies
15K Views
Hii ni ishara dhahiri juu ya tusi kubwa si kwa wanaompinga tu hata kwa wale waliomfanikishia kuchukua tuzo hiyo,
0 Reactions
170 Replies
21K Views
JAMANI hii imekaa kiudaku zaidi eti kati ya hawa watangazaji wawili nani MKALI? wote Wanafanya vipindi vya aina moja japo redio tofauti GEA HABIBU wa CLOUDS FM na DIDA SHAIBU wa...
0 Reactions
17 Replies
20K Views
Ameyaoga matusi ipasavyo kama picha ijielezavyo!
3 Reactions
102 Replies
20K Views
Aahh!! Zingifuli zingifuli zinga mahala ukakaaa, Usoo mila desituri usiyejua tongozwa ukakataaa, Usio hiana fedhuri uongo umekujaaa, Kujifanya mashuhuri kumbe chaka umechakaa, Aagah...
0 Reactions
40 Replies
13K Views
Hii imetokana na video Diamond aliyeyoipost Instagram ikimwonyesha Jokate akikata mauno club huku nyimbo ya Diamond (mdogomdogo) ikipigwa... Diamond aliandika na caption #Mbona bado, mtanyooka...
2 Reactions
108 Replies
25K Views
And the winner is @diamondplatnumz for Artist of the Year #AfricanAchieversAwards Salaam SK @Sallam_SK Tunamshukuru Mungu anazidi kudhihirisha kilicho bora kwa vitendo,Africa inatambua juhudi...
9 Reactions
166 Replies
19K Views
I'm just assuming. Davido ameshajua market ya Tanzania na East Africa liko kwa hawa hasa kwa upande wa mashabiki pengine anaweza akawa mtu wa kwanza kuwashirikisha pasipo wao kujua au hata wakawa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wasalaam wanajamvi! Safari ya Mwana dada Wema sepetu imeishia UWT baada ya kupata kura 90! Hata hivyo naye martha mrata kaangukia pua baada ya kupata kura 235! Huku Asharose Mattembe akipata kura...
7 Reactions
177 Replies
19K Views
Jisong pale ni pambee tyu huyu leyla rashid anajua kuimba isha mashauz na bi khadija kopa wakasomee
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wadau hawa warembo wetu wa Bongo Movie, Irene Uwoya na Jaqueline, nani mrembo zaidi ya mwenzake? Ki mvuto, thamani katika jamii. Tunguke hapa nani anamzidi mwenzake katika nyanja tofauti? My...
2 Reactions
97 Replies
43K Views
Jamani leo naomba mnisaidie kwenye hili jambo, kuna kasumba ya watu kujadili mambo mengi sana mpaka maumbile au viungo vya baadhi ya macelebrity hapa nchini. Mfano, wengi tushasikia mjadala juu...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Umofia kwenu wana JF, Ray ameshangazwa sana na baadhi ya wasanii kama kina JB na wengine kuinua sanaa ya sinema, tofauti na alivyotegemea. Namnukuu "Thus why I'm so wonders, yaani nimeshangaa"
1 Reactions
42 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…