Ni kipindi kirefu mwanamuziki koffi olomide amekua akijifananisha na viongozi wa dini hata kufikia hatua ya kujiita Papa Benedict wa 16 na mtume wa 13 wa Bwana Yesu. Ukiangalia vitendo vyake...
Nasikia MillardAyo ameacha kazi Clouds FM na kapata mchongo huko Marekani
1.Amplifire hatangazi tena
2.Top20 hatangazi tena
3.Hajajihusisha hata kidogo na FIESTA kwa Website yake,FB wala...
* 'That n!gga' Jay-Z still owes me one for that SC kicks' commercial.
* 'The Illmatic was so stupid'
* Kanye should run. I'd be his consultant.
* French Montana is a DVD gangsta.
Great podcast.
STORI zilivuma na bado vuguvugu linaendelea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu uhusiano wa staa wa kike katika filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mama Kanumba, Flora Mtegoa...
Wolpee
September 2015 anavishwa pete na mtu mwengine.
July 2016 yupo na mwengine sio wa pete.
September 2015 anasikitika walosaliti kurudi CCM
July 2016 anarudi CCM.
hakuna tofauti movies...
Licha ya kwamba hakuna mtu aliyestaarabika ataunga mkono alichofanya Koffi ollomide, lakini pia hakuna mpenda haki yoyote yule ambaye yupo tayari kuona Koffi naye akitendewa dhulma, wapenda haki...
Naona mnajisahau duniani na kuona kila kitu ni halali.mnabadilishana waume kwa wanawake kuhalalisha uzinifu wenu. Mmewekeza kwenye ngono na kuipa jina la kutafuta "kick".
Mmekuwa walevi...
Hivi punde Standard Media Digital Kenya ime-release video ikionyesha Koffi Olomide akimtandika mateke dancer wake wa kike muda mfupi baada ya kutua Jomo Kenyatta International Airport.
Bila...
Habarini wana jamvi,.
Tabia ya ku-copy na ku-paste swaggz mbalimbali toka kwenye videos za mbele/Marekani anayoiendeleza Diamond imepelekea wadau wengi kuona huyu jamaa ameishiwa ubunifu na...
Ambony,
Kwa Mara ya kwanza leo nimeangalia tamthilia ya kelele kupitia clouds tv. Kwa kweli ni hovyo..yaani kwenye conversation ni pumba tupu. Nimepata waswas Kama wanatumia script au ujuzi...
Mwanamuziki mashuhuri kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amekamatwa akiwa nyumbani kwake mjini Kinshasa.
Mwanamuziki huyo amekamatwa kwa agizo la afisi ya mwendesha mashtaka.
Olomide...
Msanii wa Bongo movie Jacob Steven maarufu kama JB amesema anapata pesa nyingi kuliko hata za mbunge na kuwa fani ya filamu inalipa kuliko fani yoyote ile na hana mpango wa kutoka kwenye filamu...
Msanii Jux ambaye sasa ni mpenzi wa Vanessa Mdee amefunguka na kusema kuwa wimbo wake mpya 'Wivu' ambao unafanya vizuri kwa sasa hajaimba kwa ajili ya mpenzi wake Vanessa Mdee.
Ameimba wimbo huo...
Habari wakuu...
Tumezoea maceleb wengi wa bongo huwa hawafichi utajiri wao au mahusiano yao... Wengi wamekuwa wakifanya show off sana... Wengine hufikia hatua ya kukopa au hata kudanganya watu...
WASANII WAKITANZANIA DIAMOND PLATNUMZ NA WENGINEO WATAJWA KWENYE TUZO ZA AFRIMMA-2016 ALI KIBA NA HARMONIZE WAKIWEMO.
HIZI NI CATEGORIES WANAZOWANIA WASANII WAKITANZANIA TUZO ZA...
Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii.Lakini ujumbe wake mpya kwa bintiye,Tiffah umesababisha mjadala mkubwa.
Akiweka picha ya binti yake huyo ambaye mwezi ujao...