Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Naongea kama mmoja wa mashabiki na wapenz wa mziki wa Maua Sama ninaoamini kabsa Maua ndo msanii mwny kipaji zaid kuliko wengine Afrika Mashariki(hii ni pamoja na nchi zilizojiunga juzi kati),na...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Bongo nyoso kweliiii. Hawa ndio mastaa wetu ambao tunasema ni vioo vya jamii. Lakini their life is fake to the ground...
15 Reactions
323 Replies
44K Views
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu tangu 2017 alipotoa album yake ya DAMN, Kendrick Lamar amerudi ameshatangaza ujio wake tena kwa kutangaza ujio wa album yake aliyoipa jina 'Mr. Morale & the Big...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Moja kwa Moja mi naanza na Lulu Elizabeth Michael picha zake nyingi unapata imagination kuwa ni mrefu kiasi lakini ukikutana nae kwa ule ufupi unakuwa disappointed 😞
18 Reactions
109 Replies
13K Views
Nimemsikia kwenye Xxl, Jahazi na sasa power breakfast. Kote nimemuona akifanya vizuri sana. Talent.
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Mwanamuziki wa Tanzania Diamond Platnumz amekosolewa mitandaoni kwa kutumia bendera yenye utata katika video ya wimbo wake mpya wa Gidi. Bendera hiyo ni ya kundi la Shirikisho la majimbo ya...
5 Reactions
121 Replies
13K Views
Steven Charles Kanumba (alizaliwa mnamo tarehe 8 Januari 1984,katika mkoa wa Shinyanga - alifariki tarehe 7 Aprili 2012 alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchini Tanzania, baba yake...
13 Reactions
43 Replies
7K Views
Habari zenu nyote! Kama kichwa cha habari kilivyouliza, naendelea kuuliza yuko Baba yetu, jasiri aliyekemea dhambi bila kificho na kujitengenezea maadui wengi kwa kuupigania Ukristo na utakatifu...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Msanii namba moja Africa Diamond Platnumz au mashabiki wake wanapenda kumuita Simba mnyama mkali amekuwa trend namba moja nchini Qatar. Diamond amefanikiwa kuwa trending namba moja kwenye...
12 Reactions
75 Replies
7K Views
Pitapita yangu nikaona leo niangalie habari nikaona WCB wameitisha mkutano na kuanza kulalamika kuhusu nyimbo yao sijui inaitwaje ila video inaonesha kama kashfa ya imani fulani. WCB sio mara ya...
6 Reactions
75 Replies
4K Views
Mlichosikia ndicho kilichotokea baaada ya miez kadhaa kuzinduliwa na kufanyika kwa tuzo za mziki chin ya sebule sebule lilipewa baraka zote na na gavooo na head of the state huku gavoo ikitarajia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
The 2021 MTV EMAs are here! The awards show kicked off on Sunday with a ceremony hosted by Saweetie! Some of the biggest global superstars came together for a celebration of music held at Papp...
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Habari zenu jukwaa la celebrities. Niende kwenye mada hapo juu. Miaka ya mwanzo ya 2000, alikuwepo Msanii mwanafunzi wa secondary ya Wasichana Tabora aitwaye Farida Koshuma. Alikuwa na wimbo...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Ujana, mapenzi na ustaa. Maneno hayo machache yanatosha kuelezea maisha ya Wema Sepetu na Diamond Platnumz. Kama hukufaidi drama za hawa wawili, bado hujalijua vizuri game la muziki wa kizazi...
6 Reactions
49 Replies
7K Views
Professor Silas Lwakabamba, Ni Mtanzania wa kwanza kwenda kufungua Chuo ambacho leo hii kinaonekana kama ni mfano wa kuigwa katika Bara la Africa, yaani ni chuo cha Kigali Institute of Technology...
2 Reactions
103 Replies
23K Views
Kuna watu wanavipaji vya kusimlia. Sauti zao na mpangilio wa maneno yanayotoka mdomoni vinaweza kukufanya usikilize zaidi hata ambacho ukutaka kukisiliza. Ikiwa kuna watu 3 duniani wenye vipaji...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Jacqueline Ntuyabaliwe ambaye ni mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, marehemu Reginald Mengi, ameshinda pingamizi alilowekewa na wasimamizi wa mirathi katika rufaa ya mirathi ambao...
4 Reactions
30 Replies
5K Views
anitwa saraphina ndio mwanamuziki wa kike bora kwa Sasa Tanzania Hana mpinzani wana Jamii forums naombeni support yenu kwa huyu mwanadada
4 Reactions
46 Replies
6K Views
Miongoni mwa matukio ambayo yamezua gumzo ni tukio la Wema Sepetu kuwafukuza nyumbani kwake mastaa wenzake wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Irene Uwoya, Kajala Masanja, Jacqueline Wolper...
6 Reactions
25 Replies
5K Views
Hii Jinsi gani inaonesha watangazaji wetu wanna upeo mdogo. Katika kipindi cha Mashamsham ya Pwani cha Wasafi FM, Didas akiwa Arusha alipigiwa simu na mtangazaji mwenzake na kumuuliza mlima...
8 Reactions
64 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…