Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

By Cate MukeiMr Nice has re-launched his career in Kenya under Grandpa Records.In 2004, the Tanzanian musician, whose real name is Lucas Mkenda, invented a new dance style called Takeu, which...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari nilizozipata toka kwa Startox mwenyewe, ni kwamba amesalimika kuuawa na majambazi baada ya kuvamiwa maeneo ya Mwananyamala. Majambazi hao wamepora simu, pesa na baadhi ya vitu. Source...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimemkumbuka sana huyo Mrembo. alitingisha wakati wake. Ila amepotea ghafla? Mwenye news zake, na picha atujuze.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hii imetokea dakika chache zilizopita baada ya kuingia kwenye intavyuu ya FNL amelewa,pia amevaa singlend na ndala. <NB> Ni aibu kwa msanii mkubwa kama yeye kuingia kwenye intavyuu akiwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Anaitwa kinyambe,kwa wafuatiliaji wa bongo comedy watakubaliana nami kuwa huyu jamaa kwa sasa hana mpinzani,hatumii nguvu wala haforce kuchekesha kama kina nanii,ukimwona tu hata kabla hajongea...
2 Reactions
47 Replies
8K Views
Usafii kama kawaida yangu.....!! Diamond Platnumz with Flowers....! From Left to Right.....Qboy Mnyama...Esma Khan,Faridah,Mariam...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Katika hali ya kushangaza, binti mmoja maarufu kwa jina la Hilda amejitokeza hadharani kupitia facebook yake na kudai kuwa yupo tayari kugawa penzi kwa diamond hata bure...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Magic Johnson's gay son E.J. was recently thrust into the public eye when he was photographed in Hollywood walking hand-in-hand with another man and now he's opening up for the first time about...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Inakuwaa Poa kwa mdaa huu ukiwaskiza washakaji wa Tamadumi Muzk kama Songa#Nyimbo zake nying Tafuta#
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nilipokutana na huyu jamaa mpaka niliogopa kwanza, anaitwa Naazir ni mpakistani ana umri wa miaka 26 jamaa ni mrefu si mchezo,
0 Reactions
11 Replies
4K Views
hata siku moja huwezi kumfnanisha nik mbish na nik wa pili,,nik mbish ni mwana hiphopanayefanya hiphop kwa kuzingatia mising ya hiphop.. Fuatilia ngoma kama IMAGE,PUNCHLINE n,k.JAMAA ANAWEZA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaman naomba kuuliza hizo sad newz zinazosambaa kua mkongwe wa taarabu fatma bint shaaban aka bi kidude amefariki dunia punde Leo hili ni kwel au watu wanazushia 2
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Zimetoka taarifa kutoka Makongo Secondary school kwamba Dogo Janja kafeli kuingia kidato cha tatu (form 3) so itabid arudie form 2 au muziki. Unamshauri nini huyu dogo?
0 Reactions
40 Replies
12K Views
Linah akivuta hisia kwneye show yake Washington DC Mdau akichukua taswira ya mwimbaji Linah alipokua akiwasha moto kwenye show yake Washington DC nchini marekani Wadau mbalimbali wakicheza...
0 Reactions
19 Replies
12K Views
  • Closed
Sikiliza Diamond akimtosa Wema live kwenye simu (AUDIO CLIP) - TEEN TZ link ndo iyo apo juu
0 Reactions
47 Replies
9K Views
Lad Jay Dee, The Pumpkin of the Old Homestead MUST NOT BE UPROOTED! maana halisi ya hiyo proverb ni USINYEE KAMBI. waswahili wanasema usisahau ulikotoka na aliyekutoa.. wanadamu tuna tabia ya...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Isabella Barrette, is a 6 year old, who has turned her self into a millionaire. Isabella has set up a kid’s jewelry and makeup line which was ranked in $1 million in 2012. Her mother Suzanna...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Justin Bieber Says He Hopes Anne Frank 'Would Have Been a Belieber'By Alyssa Newcomb Posts By Alyssa Newcomb | ABC News Blogs – 3 hours ago Email Share951 Share1 Print...
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Wakuu naombeni mnisaidie naitaji kujua hii jingle ya jahazi clauds fm ninyimbo gani na niya nani niliwahi kumuuliza kayanda kwny fb ila hakunipa jibu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…