Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

MWANAMUZIKI Mahiri wa Bongo Fleva, Judith Wambura 'Lady Jaydee' leo alifika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kufuatia kufunguliwa kesi ya madai katika mahakama hiyo. Katika...
2 Reactions
288 Replies
30K Views
Ndugu wana jf,naomba kumpongeza sana Prof Jay kwa kujiunga na CHADEMA kwani ameonyesha njia kwa vijana wengi na pia naomba kutumia fursa hii kumkaribisha hapa kwenye jukwaa la maoni huru na aje...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
MASUALA YA JAMIIAngelina Jolie aondoa matiti yote mawili Mcheza sinema maarufu wa Kimarekani, Angelina Jolie, ametangaza kwamba amefanyiwa operesheni ya kuondosha matiti yake yote mawili ili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Picha ya 1: Washiriki wa shindano la Miss Mwanza 2013, wakisikiliza kwa makini maelekezo dhidi yao kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya SISI Intartainment inayoandaa shindano hilo, John Dotto...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
  • Closed
TeddyKalonga Monday, June 30, 2008 TK Pichani : Ni mimi (samahanini kama nimewatia kinyaa) Najua wengi wenu mmenihukumu vibaya sana kutokana na mambo yaliotokea last week. Kwa kweli hamkufanya...
0 Reactions
17 Replies
8K Views
"NILIJIUNGA CHADEMA ILI NISAIDIE HARAKATI ZA UKOMBOZI WA TANZANIA NA SINA MPANGO WA KUGOMBE UBUNGE" ... PROFESA JAY Mchawi wa rhymes, Profesa Jay amesema hakujiunga na CHADEMA ili mwaka 2015...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimepewa habari ambayo inashtua kuwa jamaa ana wake sita ingawa wengine wapo nje ya nchi. Kwa maisha ya kawaida hapa Tz na magonjwa haya huogopi?.kwa sisi wapenzi wa soka bado tunahitaji mchango...
0 Reactions
48 Replies
11K Views
hizi hapa sasa comments za wadau..
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Anayeju alipo na anafanya nn
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hizi ni habari kutoka kwa watu wake wa karibu anaoishi nao sinza na habari kua ana mpango wakubadili staili yake ya nywele ili awe kama mzungu hivyo ameanza kuzibadiklisha taratibu kwa kuweka...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
ni show ya kina Kala pina, Kalla Jeremaya, Mansul na wengine kibao siku ile ile ya show ya Lady Jay dee na zote zinapigwa promo ya nguvu na Cloulds fm, au ndo yale yale ya mwenye nguvu mpishe na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
"Nadhani baada ya hii, maswali yatapungua kama sio kuisha kabisa...Nafahamu kila mtu anasoma kwa wakati wake pengine hamkuona sababu nilizoelezea kwanini sijatoa waraka mwingine Tar 15 kama...
0 Reactions
103 Replies
11K Views
kuna kipindi waungwana nilisikia kwamba msanii na mwanamuziki Dotnata ni mjamzito. Napenda kuuliza waungwana alijifungua baby gani?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
KUBWA KULIKO ZOTE WEEKEND HII Wacha weeeeeee hii ndio habari ya Dar mitandaoni kwa sasa baada ya la hapo juu mambo yakawa mambo haya sasa jionee Drama in Dar City Hizo...
0 Reactions
132 Replies
33K Views
ABY SYKES ABBY SYKES DULLY SYKES Baba mzazi wa mwanamuziki nyota wa bongo flava nchini Dully Sykes Mzee Sykes hivi karibuni alinaswa na kamera ya Xdeejayz akichambua bangi mikononi...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Huyu mbondei wa muheza mwenye ndoto za kugombea ubunge hapo muheza 2015 kupitia ccm naona anazidi kuchuja hii nyimbo yake ya kama zamani alianza kuipa promo toka mwaka jana mwishon mara...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
SABABU ZA MATONYA KUTOSHIRIKI SHOW YA MIAKA 13 YA LADY JAYDEE Tetesi zinaweza kuwa za ukweli au pengine zikawa ni story za kujitungiaLakini tetesi zinasema kuwa Matonya alipigiwa simu na...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Hii ni kwa utafiti wangu mdogo kwa nguli huyu wa Hip hop lakini pia akiwa mtunzi na mtayarishaji maarufu wa Muziki bila kusahau ni DJ vile vile. Binafsi sikujua huyu mwadada ameshiriki kuandika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kupitia season mpya ya Clouds Fm, ndani ya 'So so fresh' na DJ Fetty, Mh Halima Mdee (Mbunge wa kwa - CHADEMA) amefunguka juu ya swali aliloulizwa kuhusu story zilizosambaa kuwa anashiriki...
0 Reactions
38 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…