Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Unakuta mbaba mtu mzima na nguvu zake kila Siku anamchapa mtoto tena Chini ya 5 yrs .uliza kosa sasa ,eti aliruka juu ya makochi,mara oooh alipeleka masufuria sebuleni Mara oooh alichora ukuta...
11 Reactions
69 Replies
294 Views
Juzi kati baada ya kusoma bandiko la mlevi min -me la kuhusu bintiye na kukosa upendo kwa mama yake, ambaye Wali kuwa separated na kumfanya min kuwa single father, so mtoto kukosa motherly...
6 Reactions
14 Replies
103 Views
Happy Sunday guys ❤️ Humu jukwaani kuna ile standard Ukiingia jukwaa fulani, unajua utakutana na nini Ukiingia jukwaa kama hili la siasa unajua kabisa utakutana na quality fulani Hata kama huyu...
4 Reactions
36 Replies
117 Views
Kaliaua ni mji wa zamani sana. Huyu mzee anajifanya hapajui?
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Moja ya jambo baya kwa viongozi ni unafiki na ndo umelitafuna taifa letu kama cancer. Vyama vya upinzani tunaamini Kuna siku vitapewa nafasi ya kuongoza nchi yetu . Hivyo tunapoona kabla ya kupewa...
0 Reactions
11 Replies
66 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
165 Reactions
673K Replies
43M Views
Nchini Tanzania, mikoa inayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa na maambukizi ya ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) mara nyingi hujumuisha maeneo yenye idadi kubwa ya watu na shughuli nyingi za...
1 Reactions
3 Replies
46 Views
Hii Sheria ya mtu amekutwa na bangi au mirungi na kupigwa mvua ya miaka 30 naona kama haifai kabisa. Sheria hii imekua mwiba kwa vijana sana , kijana wa miaka kuanzia 18 mpaka 39 unampa hukumu...
1 Reactions
10 Replies
96 Views
Police in Mukono District have arrested four people after human remains were allegedly discovered inside a house in Wantayi Village, Namataba Town Council. The discovery was made during a police...
1 Reactions
2 Replies
8 Views
Kama pombe ni mbaya kwanini Yesu aliitengeneza kwanza na hakutengeneza Biblia? Nawakaribisha wana zuoni mliokomaa katika mjadala huu.
6 Reactions
75 Replies
411 Views

FORUM STATS

Threads
2,079,583
Posts
55,917,859
Back
Top Bottom