Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei.
Vyombo...
1.Usiende moja kwa moja nyumbani unapotoka makaburini.. Simama kidogo mahali zuga kwa muda kidogo then nenda kwako
2. Usiweke alama ya KARIBU nyumbani kwako si kila mtu ni wa kukaribisha na hapo...
Pamoja na kusifiwa sana, rais Mama kazidi. Jana, kwa kutumia viti kumi vya rais vya ubwete, alimteua mtu wake aka black box ya mama Angela Kizigha kuwa mbunge. SIyo huyu ambaye marehemu Magufuli...
Habari mi sio mtaalamu sana ila kwann ishu ya nyeti imekuja kipindi hiki? Ambapo report ya cag inahadiliwa na watanzania
Wakati huu pia report ya October ikisubiliwa
Kwann nyeti zimepotea tunduma...
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
#HABARI:Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda (UPDF), Muhoozi Kainerugaba, amezua mjadala mkali kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya taifa la Iran kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X Aprili...
Ndege aina ya F35 ambayo inatajwa ndiyo ya kisasa zaidi katika ndege za kivita za US leo imedondoshwa chini nchini Iran na juhudi zote za kuifuata na kumpata rubani wake mpaka sasa hivi...
Juzi nilileta Uzi humu kwamba Kuna mwanamke anasema anaujazito wangu nimemuambia atoe Sina shida na mtoto Sasa hivi sababu najitafuta umri wangu miaka 28 maisha ya tanzania magumu nitazidisha...
Wakati,viongozi wa Kiserikali wakibanwa na sheria ya maadili ya utumishi wa umma na wakitarajiwa kuwa mfano na daraja la kuwaunganisha wananchi,hali imekuwa tofauti kwa mmoja wa vigogo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.