Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Shunie Extrovert Jimena FRANC THE GREAT The 13 Mnazareth Daudi Mchambuzi Dinazarde Carleen Wangari Maathai Mshana Jr
30 Reactions
8K Replies
218K Views
Serikali ya Senegal, imetangaza kusitisha mara moja safari zote za nje za mawaziri na viongozi wa serikali isipokuwa zile zitakazoonekana ni za lazima. Hatua hii imechukuliwa wakati nchi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Guys guys Kuna vitu huwa wanaita spinning yaaani ujinga ujinga wa kutengenzwa ili watu wasahau mambo ya msingi. Moja ya spinning kubwa ambayo ilishawahi kutisha bongo ni kikombe cha babu wa...
1 Reactions
2 Replies
25 Views
Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu (atheists) kunahitaji hekima, subira, na hoja zenye mashiko ya kimantiki badala ya kunukuu maandiko pekee. Katika mazingira ya Kiislamu, mjadala huu...
13 Reactions
169 Replies
782 Views
Soma yaliyomo kwenye hii Link: https://asubuhinews.com.free/update/doing-sexual-intercoursedatingfalling-in-love-is/3507574
3 Reactions
5 Replies
37 Views
Kuna vitu anajutia, ila it's too late. Video hii hapa: Halafu mumewe Andendelile Mwainyekule pia katenguliwa nafasi ya u -CEO wa EWURA.
5 Reactions
40 Replies
572 Views
Hapa namaanisha kwamba. Unakuta mtu anamikono na miguu na ana afya njema kabisa, lakini mtu huyo anatoka kwenda kusugua makoti kwenye nyumba ya ibada ili tu amuombe Mungu amshushie rizki...
1 Reactions
13 Replies
43 Views
Kuna shida kubwa sana za kimaadili ya kiutumishi hasa kwa hawa maaskofu wa Karne ya 21, wanajiona wao ndo wamebeba siasa za nchi wanaona wao ndiyo waamuzi wa kisiasa, wamesahau kuwa wao ni wadogo...
0 Reactions
53 Replies
234 Views
MTOTO WAKIUME KUKOSA MALEZI YA BABA BORA MATOKEO YAKE NDIO HAYO KUTANGATANGA KWA KINA IPM NA KINA MWAMPOSA NA WAGANGA WAKIENYEJI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kijana wangu. Wewe ni...
2 Reactions
24 Replies
96 Views
Qur’an 4:157 “Na kwa sababu ya kusema kwao, ‘Tumemuua Masihi, Isa mwana wa Mariamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu’— lakini hawakumuua wala hawakumsulubisha; bali ilifanywa ionekane hivyo kwao…”
1 Reactions
32 Replies
101 Views

FORUM STATS

Threads
2,049,615
Posts
55,189,062
Back
Top Bottom