Serikali ya Senegal, imetangaza kusitisha mara moja safari zote za nje za mawaziri na viongozi wa serikali isipokuwa zile zitakazoonekana ni za lazima. Hatua hii imechukuliwa wakati nchi...
Guys guys
Kuna vitu huwa wanaita spinning yaaani ujinga ujinga wa kutengenzwa ili watu wasahau mambo ya msingi.
Moja ya spinning kubwa ambayo ilishawahi kutisha bongo ni kikombe cha babu wa...
Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu (atheists) kunahitaji hekima, subira, na hoja zenye mashiko ya kimantiki badala ya kunukuu maandiko pekee. Katika mazingira ya Kiislamu, mjadala huu...
Hapa namaanisha kwamba.
Unakuta mtu anamikono na miguu na ana afya njema kabisa, lakini mtu huyo anatoka kwenda kusugua makoti kwenye nyumba ya ibada ili tu amuombe Mungu amshushie rizki...
Kuna shida kubwa sana za kimaadili ya kiutumishi hasa kwa hawa maaskofu wa Karne ya 21, wanajiona wao ndo wamebeba siasa za nchi wanaona wao ndiyo waamuzi wa kisiasa, wamesahau kuwa wao ni wadogo...
MTOTO WAKIUME KUKOSA MALEZI YA BABA BORA MATOKEO YAKE NDIO HAYO KUTANGATANGA KWA KINA IPM NA KINA MWAMPOSA NA WAGANGA WAKIENYEJI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
1. Kijana wangu. Wewe ni...
Qur’an 4:157
“Na kwa sababu ya kusema kwao, ‘Tumemuua Masihi, Isa mwana wa Mariamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu’—
lakini hawakumuua wala hawakumsulubisha; bali ilifanywa ionekane hivyo kwao…”
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.