Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.
Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
1.Usiende moja kwa moja nyumbani unapotoka makaburini.. Simama kidogo mahali zuga kwa muda kidogo then nenda kwako
2. Usiweke alama ya KARIBU nyumbani kwako si kila mtu ni wa kukaribisha na hapo...
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetupilia mbali shauri la klabu ya Simba lililokuwa likipinga uhalali wa usajili wa mchezaji Mohamed Damaro...
Jamani naomba kuuliza wajuz wa mambo mnaofahamu juu ya hili jambo
Tumeambiwa uganda anachimba mafuta na tunachimba bomba toka huko had tanga kwa ajil ya mafuta hayo
Wakat huu tulionao hawez...
Mtu yupo ndani kwake siku nzima, kama hujamzoea unaweza kuhisi kuna shida ila ukiishi hapo kwa muda mrefu unamgundua wala hana shida, haonyeshi dalili za masikitiko, ndo furaha yake,
Anapenda...
Huwa inaanza vizuri tu unapojiwekea msimamo hutaki kuoa ukiwa kwenye 20s lakini joto huanza kupanda ukishafika 35+
Unaanza kupewa taarifa au kupata mialiko kwamba yule mtoto wa mjomba aliekuwa...
Wakuu,
Narudia tena watz bado tupo fo fo fo
Hivi karibuni niliamua nikazuru boda nikacheki maana sijawai toka nje ya nchi.
Nikaamua kwene Border ya kenya na Tz.
Nililala sirari aisee pale ni...
Mtu mweusi anajifanya mjuaji na mwenye akili nyingi huku kwa uhalisia ni kinyume chake.
Mtu mwenye akili ndogo au tahira Ishara yake kubwa ni kuendeshwa kwa mihemko na misisimko kuliko fact.
Mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.