Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hello April born babies.🥰 Kila mwaka ikifika mwezi kama huu Huwa nakuwa na furaha sana. Huu ni mwezi wangu wa kuzaliwa na Huwa naufurahia sana. Naendelea kukua na kuwaza mambo makubwa zaidi...
4 Reactions
22 Replies
53 Views
Heri ya Sikukuu ya Pasaka Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete anawatakia wananchi wa mkoa wa Mara na Watanzania wote kwa ujumla Pasaka njema iliyojaa upendo, amani na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari? Kama kichwa kilivyo, mimi ninafanya kazi ya kuajiriwa ,na mke wangu ni mfanyabiashara tuna watoto watano, wawili bado wadogo chini ya miaka mitano. Wengine wapo miaka 12, wapili 9 na...
6 Reactions
19 Replies
80 Views
Jiulize Kuna uhusiano Gani kati ya mtu kuguswa bega na kupoteza mbor. o 😂 Yaani watu wanaiamin katika technology, uvumbuzi na science, Sisi tunauana ati mtu alikugusa bega ukapoteza nyeti...
2 Reactions
11 Replies
68 Views
It was all started at JF.. And of course PM.. Then contact exchange.. The rest ni maumivu ama experience za kuvutia! Alinikopesha 2,000,000 kwa lazima kwa riba ya 600,000 kwa mwezi! I paid it...
7 Reactions
129 Replies
552 Views
Nilivyomuuliza huoni unapoteza fedha nyingi Kwa MAKATO akasema lengo lake ni kuchukua noti mpya akatunze home. Ilikuwa kicheko na masikitiko. Basi namkumbuka Rafaeli, Tukalewa Tukalewa...
2 Reactions
6 Replies
7 Views
Jamiinimetushape kwamba ndoa ni kitu cha lazima sana vinginevyo hamna urafiki,mapenzi au mahusiano ya namna yoyote kati ya me na ke Na hii ndo inasababisha ndoa nyingi kuwa za hovyo kuliko...
42 Reactions
307 Replies
3K Views
Neno mama:- 1. Kwa kiha (watu wa Kigoma) ni "nyoko". Mfano. (a) Ndamhamagala nyoko wawe (namuita mama yako). (b) Jewe ndi nyoko wawe (mimi ni mama yako). 2. Kwa lahaja nyingi za kiswahili; neno...
6 Reactions
36 Replies
695 Views
Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu (atheists) kunahitaji hekima, subira, na hoja zenye mashiko ya kimantiki badala ya kunukuu maandiko pekee. Katika mazingira ya Kiislamu, mjadala huu...
18 Reactions
249 Replies
1K Views
Wakuu nina maswali kuhusu Bima ya Afya na ningeomba haya maswali yajibiwe na wahusika. Swali la kwanza: Kwanini mgonjwa akitibiwa anatakiwa kukaa Wiki 2 au Mwezi ndio aende kutibiwa tena? Yaan...
2 Reactions
10 Replies
28 Views

FORUM STATS

Threads
2,049,700
Posts
55,191,350
Back
Top Bottom