Huyu mtu ni mashine
Anao uwezo wa kuwa waziri wa wizara hata tatu. Napendekeza apewe wizara ya madini, apewe mali asili na wizara ya fedha azichakate fedha vizuri.
Kwa uwezo wake mkubwa kabisa...
Kwa takribani siku ya tatu leo Daladala kwa route ya Tegeta - Posta/ Kariakoo, Bunju - Morocco daladala zimezidi kua chache kulinganisha na siku za huko nyuma
Abiria wamekua ni wengi kwenye vitu...
Kama ulikuwa hujui, basi habari ndio hii: Mtu mwenye ngozi nyeusi kama sisi, ambaye sasa amefika mbali sana katika anga za juu, hajamsahau Mungu aliyemfikisha hapo.
Huyu si mwingine ni Victor...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Wakuu,
Profesa mwenye, aliyesoma na kuelemiika anapokea teuzi hivi kana kwamba bila huo uteuzi anakufa, hapa Rais si anaonekana kama Mungu! Ndo maana alimwita Magufuli Mungu!
Baba ananyeyekea...
Takwimu ziko wazi kipindi Nyerere anapigania uhuru asilimia kubwa ya watanzania walikuwa wajinga
Kuwatetea kundi lenye watu wajinga wanaijiita machawa au mazuzu ni gharama kubwa sana.
Nyerere...
Ibrahim Traoré, kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso aliyetwaa madaraka kupitia mapinduzi ya mwaka 2022, amewaambia wananchi wake wasahau kabisa kuhusu swala la demokrasia, akidai kuwa mfumo huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.