Jamani naomba kuuliza wajuz wa mambo mnaofahamu juu ya hili jambo
Tumeambiwa uganda anachimba mafuta na tunachimba bomba toka huko had tanga kwa ajil ya mafuta hayo
Wakat huu tulionao hawez...
Iran imetangaza kuanza kushambulia makampuni binafsi ya raia wa Marekani ambayo yana ofsi ukanda wa mashariki ya kati,kampuni hizi ni kama Microsoft, Google, Nvidia, Tesla, n.k.
Wameshindwa...
Ama kwa hakika hii Nchi raia wake wanadharauliwa kuliko hata kinyesi cha binadamu
Pamoja na kashfa zenye ushahidi mwanana uliotukuka lakini Kizigha bado anateuliwa, Ni kama vile ccm haina watu...
Tulia Akson aliyekuwa anaona sifa kutunga sheria mbaya, na kutumika kulinda uovu wa serekali bungeni, alipigwa chini.
Na kabla hajapoa vizuri mumewe naye kapigwa chini Sasa wakae wapitie uovu...
Aprili Mosi, tumepokea taarifa ya EWURA kuhusu bei mpya za mafuta, ambazo zimeonyesha ongezeko kubwa. Baada ya taarifa hiyo kuenea na bei mpya kuanza kutumika, sauti za malalamiko kuhusu makali ya...
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei.
Vyombo...
Kama ulikuwa hujui, basi habari ndio hii: Mtu mwenye ngozi nyeusi kama sisi, ambaye sasa amefika mbali sana katika anga za juu, hajamsahau Mungu aliyemfikisha hapo.
Huyu si mwingine ni Victor...
Jf ujumbe ndio huo.
Na kuhusu hawa kina
Echolima1 na jina lingine anajiita Mlaleo
Sa kichaa mwenzenu atasema nini hapa Iran karibu watanza kushambulia kutumia Fighter Jets...
Humphrey Polepole kwa kimywa chake alithobistishia umma wa Watanzania kuwa Angella Kizagha aliiba zaidi ya bil 60 kwa kulipwa malipo hewa .
Malipo ambayo hayati Magufuli ambae hakufurahi juu ya...
Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamáa wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja
Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.