Wale wenzangu bendera fuata upepo sijui lini tutaamka usingizini. Miaka michache imepita tulimpinga hayati tukasema anapingana na matakwa ya WHO na ya serikali zingine za dunia[you name them]...
Tunaambiwa....
Sukari haifai..
Chumvi haifai...
Mafuta hayafai...
Juice ya matunda haifai...
Matunda mchanganyiko hayafai...
Unga wa sembe haufai...
Unga wa dona uliopita mashineni haufai...
Wakuu nina maswali kuhusu Bima ya Afya na ningeomba haya maswali yajibiwe na wahusika.
Swali la kwanza:
Kwanini mgonjwa akitibiwa anatakiwa kukaa Wiki 2 au Mwezi ndio aende kutibiwa tena?
Yaan...
Nikki wa pili ndio msanii na celebrity bora kabisa kwa kizazi hiki hapa Tanzania kwa muda wa miaka 30 iliyopita 1990-2021
Kuna sababu zinazofanya awe Bora kuliko wote na zipo wazi.
Nikki amekuwa...
Full name: Arsenal Football Club
Nickname(s): The Gunners
Founded: 1 December 1886
League: Premier League
Website: arsenal.com
Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
Eti wazee wa logic na akili nyingi safari hii imekuaje?😂🤣🤣 Akili zote na logic zimehamia kwenye mikuyenge?
Kutwa kucha kuwakamia wanawake kooni, safari hii mwalimu wetu kipofu kahamia huko kwenu...
Wasalaam.
Kuna habari kwamba mwamba huyu hapo chini alishirikiana kikamilifu na kundi lile la wana mtandao kumnyamazisha na kumfutilia mbali jemadari yule mkuu wa kaya.
Nmejikuta leo namkumbuka uyu mwanadada ambae alitokea kujizolea umaarufu sana kipindi kile Mjomba katuacha bila kutuaga!!
Kuna yoyote mwenye taarifa zake?
Alafu vp me naona kama yupo hai...
Wakuu au ni mimi tu ndio nimechelewa kujua
Mbona usiku huu ghafla nashangaa naipata Jamii Forums bila VPN
Wameiachia huru lini aisee. Inawezekana nilikuwa najisumbua siku nyingi kufungua Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.