Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wale wenzangu bendera fuata upepo sijui lini tutaamka usingizini. Miaka michache imepita tulimpinga hayati tukasema anapingana na matakwa ya WHO na ya serikali zingine za dunia[you name them]...
1 Reactions
23 Replies
724 Views
Tunaambiwa.... Sukari haifai.. Chumvi haifai... Mafuta hayafai... Juice ya matunda haifai... Matunda mchanganyiko hayafai... Unga wa sembe haufai... Unga wa dona uliopita mashineni haufai...
13 Reactions
39 Replies
231 Views
Wakuu nina maswali kuhusu Bima ya Afya na ningeomba haya maswali yajibiwe na wahusika. Swali la kwanza: Kwanini mgonjwa akitibiwa anatakiwa kukaa Wiki 2 au Mwezi ndio aende kutibiwa tena? Yaan...
3 Reactions
60 Replies
234 Views
Nikki wa pili ndio msanii na celebrity bora kabisa kwa kizazi hiki hapa Tanzania kwa muda wa miaka 30 iliyopita 1990-2021 Kuna sababu zinazofanya awe Bora kuliko wote na zipo wazi. Nikki amekuwa...
2 Reactions
59 Replies
7K Views
  • Sticky
Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
145 Reactions
171K Replies
10M Views
Polisi amedai ni kweli nyeti za Wanaume zinaibiwa. Ila ameshauri zikiibiwa mwizi msimuue kwani zitakuwa hazirudi. Polisi kadai walipokea ripoti kwamba muiba nyeti kakamatwa, walivyombana...
5 Reactions
32 Replies
495 Views
Eti wazee wa logic na akili nyingi safari hii imekuaje?😂🤣🤣 Akili zote na logic zimehamia kwenye mikuyenge? Kutwa kucha kuwakamia wanawake kooni, safari hii mwalimu wetu kipofu kahamia huko kwenu...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Wasalaam. Kuna habari kwamba mwamba huyu hapo chini alishirikiana kikamilifu na kundi lile la wana mtandao kumnyamazisha na kumfutilia mbali jemadari yule mkuu wa kaya.
22 Reactions
277 Replies
16K Views
Nmejikuta leo namkumbuka uyu mwanadada ambae alitokea kujizolea umaarufu sana kipindi kile Mjomba katuacha bila kutuaga!! Kuna yoyote mwenye taarifa zake? Alafu vp me naona kama yupo hai...
2 Reactions
9 Replies
771 Views
Wakuu au ni mimi tu ndio nimechelewa kujua Mbona usiku huu ghafla nashangaa naipata Jamii Forums bila VPN Wameiachia huru lini aisee. Inawezekana nilikuwa najisumbua siku nyingi kufungua Jamii...
3 Reactions
29 Replies
392 Views

FORUM STATS

Threads
2,049,712
Posts
55,191,585
Back
Top Bottom