Kyaiyembe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 1,706
- 665
Ahasante mkuu nimekusoma!.
Na kuna kitu umenisaidia kugundua kuwa zaidi ya 50% ya miradi yote 29 (15) ilianza kabla ya utawala wake (Mr. Dhaifu).
Ukiacha hilo ni kuwa Barabara zilizojengwa jumla ni 5970km nchi nzima, tukitoa zilizoisha chini yake 1741.8km tunabaki na 4228.2km.
Ni makosa kusema kuwa amejenga barabara zenye urefu wa 5970km.
Na kuna kitu umenisaidia kugundua kuwa zaidi ya 50% ya miradi yote 29 (15) ilianza kabla ya utawala wake (Mr. Dhaifu).
Ukiacha hilo ni kuwa Barabara zilizojengwa jumla ni 5970km nchi nzima, tukitoa zilizoisha chini yake 1741.8km tunabaki na 4228.2km.
Ni makosa kusema kuwa amejenga barabara zenye urefu wa 5970km.