ZOMBA: 11,154 KM Ziko wapi ndugu yangu!

Naona umeshindwa kuja na jibu la takwimu zako. Kwi kwi kwi au hujaona post? unaonesha ni hodari sana wa kuchakachuwa. zao la Necta sio?

Utuonyeshe 11,000 paved road!.

"Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu."
Hii nukuu ya magufuli ni upuuzi uleule wa wabunge wa CCM

Na usisahau kuwa "
President Jakaya Kikwete said in Arusha on Thursday that at the moment the total length of tarmacked roads in Tanzania is 6,000 kilometres. The president was officially opening the 47th African Development Bank (AfDB) meeting when he said this. "Tanzania has a total road network that covers 80,000 kilometres.
However, there is a need to reduce the length of unpaved roads," he said. He added that there are ongoing efforts to pave 11,000 kilometres of the road network -- a job that is expected to be completed in three years' time. After construction projects are completed in 2015 the total length of paved roads will increase from 6,000 to 17,000 kilometres.
Source: Tanzania Daily News."
 
​kwani zomba ni binadamu au ni mnyama toka poli la ccm tegeta nimesahau jina la msitu
Kwanza mwambie akueleze hizo takwimu zimekuwa updated lini? ukipata jibu nifahamishe, maana nyie mna data za zamaaaani, mimi nna data zilizowasilishwa bungeni juzi na Magufuli. Kinaga Ubaga na hakuna Mbunge hata mmoja aliyezipinga, si wa CCM si wa Magwanda.
 
Naona umeshindwa kuja na jibu la takwimu zako. Kwi kwi kwi au hujaona post? unaonesha ni hodari sana wa kuchakachuwa. zao la Necta sio?

Badala kujibu hoja unaleta vihoja/kejeli,
Basi umeshinda wewe!
ila ukweli ni kuwa hakuna hizo barabara
 
mashairi ya mrisho mpoto yanamueleza na kumuakisi na kumtabili vizur jk, na wenzake kina lowasa rostam chenge mwinyi na n..jomba mkapa.. Kwa ujanja wao na uhuni na utumbo mtupu wliotufanyia watanzania ..
 
Vipi ule Mji wa viwanda Tanga na Mtwara na Meli zetu hapa ziwa Victoria siku zinaenda hamna jipya

Hapa kuna mambo ya barabara funguwa nyuzi tutakuja kukujibu, usiwe na munkar kijana. Funguwa nyuzi, kaa tulia pata gahwa na kashata, eenh kijana wacha kuhangaika tupo wazee wakukutuliza murwa tu.
 
Hapa kuna mambo ya barabara funguwa nyuzi tutakuja kukujibu, usiwe na munkar kijana. Funguwa nyuzi, kaa tulia pata gahwa na kashata, eenh kijana wacha kuhangaika tupo wazee wakukutuliza murwa tu.
Barabara Mkapa alikuwa anajenga bila ya kukopa matrilioni Kikwete amekuta nchi na zero deni mpaka trilioni 23 hiyo ni hatari huwezi kumlinganisha na Mkapa hata siku moja. mipango ya maendeleo mnaenda kufanyia saigon kwenye vijiwe vya kahawa kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! ha! ha!
 
Barabara Mkapa alikuwa anajenga bila ya kukopa matrilioni Kikwete amekuta nchi na zero deni mpaka trilioni 23 hiyo ni hatari huwezi kumlinganisha na Mkapa hata siku moja. mipango ya maendeleo mnaenda kufanyia saigon kwenye vijiwe vya kahawa kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! ha! ha!
Huyu hajijui anatuletea takwimu za barabara za changarawe na maboresho hana cha kutwambia.
 
ila ukweli ni kuwa hakuna hizo barabara

Mkuu ukweli ndio huo hawa jamaa wanadhani kila anayekuja na mawazo tofauti ni Chadema..bora umeweka rekodi sahihi ni vyema Zomba aje atuonyeshe hizo 11,000 km za lami zilipo ili tulinganishe ukweli, kusema kwamba ni Hansard ni lazima hiyo taarifa ya Waziri iwe na attachment kussuport hiyo argument atutafutie aiweke hapa akishindwa basi atulie na ajue kwamba watu wanafuatilia mustakabali wa nchi yao na sio kuamini kila taarifa inayotoka kwa kiongozi bila ya kuitafakari mara mbili mbili haswa kipindi hiki..
 
Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.

Faiza Foxy
heri yako habibt

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu ukweli ndio huo hawa jamaa wanadhani kila anayekuja na mawazo tofauti ni Chadema..bora umeweka rekodi sahihi ni vyema Zomba aje atuonyeshe hizo 11,000 km za lami zilipo ili tulinganishe ukweli, kusema kwamba ni Hansard ni lazima hiyo taarifa ya Waziri iwe na attachment kussuport hiyo argument atutafutie aiweke hapa akishindwa basi atulie na ajue kwamba watu wanafuatilia mustakabali wa nchi yao na sio kuamini kila taarifa inayotoka kwa kiongozi bila ya kuitafakari mara mbili mbili haswa kipindi hiki..


Mimi nimetafuta hiyo hansard sijaiona, hata Budget ya waziri haipo Online sijuhi ipo wapi.
Ila kwa kuwa yeye anarecord hizo aja aonyeshe,
mimi nilianzisha hii kama swali kwake kuwa zipo wapi hizo 11,000 Km ?
 
Barabara Mkapa alikuwa anajenga bila ya kukopa matrilioni Kikwete amekuta nchi na zero deni mpaka trilioni 23 hiyo ni hatari huwezi kumlinganisha na Mkapa hata siku moja. mipango ya maendeleo mnaenda kufanyia saigon kwenye vijiwe vya kahawa kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! ha! ha!

Hii ni hatari halafu hizi hela hazijulikani zimefanya nini?
barabara ni wafadhili na mikopo.
 
Mimi nimetafuta hiyo hansard sijaiona, hata Budget ya waziri haipo Online sijuhi ipo wapi.
Ila kwa kuwa yeye anarecord hizo aja aonyeshe,
mimi nilianzisha hii kama swali kwake kuwa zipo wapi hizo 11,000 Km ?
Hata kama ungezipata hizo hansard si za msingi, unajisumbua bure hili bunge linaambiwa chochote hata cha kipuuzi linakubali labda wahoji wa CHADEMA. Sasa nao huwa inafika kipindi wanamchoka Spika na mipasho yake wanamua kupotezea maana hata wakihoji inakuwa kazi bure kwa wingi wa wapuuzi Mjengoni!.
 
Wakubwa, nasubiri kwa hamu sana majibu ya pande zote mbili! Maana vyovyote itakavyokuwa tutegemee kumng'amua bonge la muongo kati ya m.pombe na j. mrisho. Maana mmoja anasema mrisho tu ni 11'154 km na khalfani mwenyewe anasema jumla yote iliyopo zamani + awamu yake ni 6'000km!
 
Wakubwa, nasubiri kwa hamu sana majibu ya pande zote mbili! Maana vyovyote itakavyokuwa tutegemee kumng'amua bonge la muongo kati ya m.pombe na j. mrisho. Maana mmoja anasema mrisho tu ni 11'154 km na khalfani mwenyewe anasema jumla yote iliyopo zamani + awamu yake ni 6'000km!

pande zipi kijana?
 
Back
Top Bottom