ZOMBA: 11,154 KM Ziko wapi ndugu yangu!

zomba na Kibanga ampiga Mkoloni angalieni data mnazotumia nina shaka kubwa na uhalisia wake. naona data nyingi hazijawa updated. Nimeona hapo juu kwamba barabara ya Tanga - Horohoro iko 47% lakini ukweli ni kwamba ile barabara iko more than 95% completed. Nimetoka mombasa juzi nikapitia hiyo barabara nimeiona kwa macho yangu. Wakati mnabishana angalieni source ya data zenu.
 
Last edited by a moderator:
zomba na Kibanga ampiga Mkoloni angalieni data mnazotumia nina shaka kubwa na uhalisia wake. naona data nyingi hazijawa updated. Nimeona hapo juu kwamba barabara ya Tanga - Horohoro iko 47% lakini ukweli ni kwamba ile barabara iko more than 95% completed. Nimetoka mombasa juzi nikapitia hiyo barabara nimeiona kwa macho yangu. Wakati mnabishana angalieni source ya data zenu.

Nililiona hilo na nikamuuliza na nikamkumbusha lakini kakaa kimya, si mchakachuaji. Kwanza alileta data wrong nilipomstukia akaenda ku edit post #1 nilipomstukia akawa hajibu kabisa kuhusu source na mwaka wa data zake:


Naona mchakachuwaji kashindwa kuonesha data za ukweli.

Mliobaki mnaporojo tu, japo mwenzenu kajaribu kidogo kujitetea lakini ndio kwa kuchakachuwa na mwisho akashindwa kuonesha source na mwaka wa data zake. Kwi kwi kwi teh teh teh.

Kikwete juu, juu, juu zaidi.
 
Nililiona hilo na nikamuuliza na nikamkumbusha lakini kakaa kimya, si mchakachuaji. Kwanza alileta data wrong nilipomstukia akaenda ku edit post #1 nilipomstukia akawa hajibu kabisa kuhusu source na mwaka wa data zake:
Sasa hizo barabara ndio unataka kujustfy matumizi ya mikopo ya trilioni 23?
 
Tupeni na Gharama Zake na uwiano wake Bei ya Zamani na Mpya... Tujue kama Tunaibiwa au Lah Pengine ni Sifa za Kijinga
 
kwanza mwambie akueleze hizo takwimu zimekuwa updated lini? Ukipata jibu nifahamishe, maana nyie mna data za zamaaaani, mimi nna data zilizowasilishwa bungeni juzi na magufuli. Kinaga ubaga na hakuna mbunge hata mmoja aliyezipinga, si wa ccm si wa magwanda.

basi zitakuwa unpublished data ambazo sio acute relevant reference.
 
basi zitakuwa unpublished data ambazo sio acute relevant reference.

Kuna reference zaidi ya waziri kupeleka data bungeni? hujui kuwa mawaziri kibao mpaka waziri mkuu mmoja wameshadondoshwa uwaziri kwa data zinazopelekwa bungeni? Unafikiri Magufuli halijuwi hilo? Bunge la wakati wa Kikwete hakuna kulindana.
 
Ni FF... anatumia ID nyingine.

FF pamoja na unazi wake wa kijinga kwa ccm , yeye ni kichwa huwezi kumlinganusha na huyo Zomba kilaza Wa kutupwa na elimu yake hiyo fake ya kudesa.
 
Kuna reference zaidi ya waziri kupeleka data bungeni? hujui kuwa mawaziri kibao mpaka waziri mkuu mmoja wameshadondoshwa uwaziri kwa data zinazopelekwa bungeni? Unafikiri Magufuli halijuwi hilo? Bunge la wakati wa Kikwete hakuna kulindana.
Hapo kwenye kekundu fanya kinyume.
Nilipobold ni sawa lakini sababu ya kufikia hapo ni nguvu nyingine si utendaji wa Kikwete.

Na yawezekana tabia ileile ya mawaziri wa Kikwete kusema uongo inaendelea sema mhuusika ana bahati ya mtende hajastukiwa.

Iweje Waziri anatakwimu tofauti na Rais bosi wake, tena Rais anatoa takwimu kwa wahisani wa barabara hizo pale A Town?.
UDHAIFU MKUBWA KWA SERIKALI NA UPUUZI MWINGI BUNGENI!.
 
Hivi serikali inayoongaza kwasasa ni ya chama gani? Kipindi cha Mwinyi, Mkapa na Mwalimu ilikuwa chama gani?
 
Ulitaka zikopwe upewe wewe?
Kwa vile unapewa wewe ili kudanganya unaona sawa.
Ila nakushangaa maana unayemsaidia kwa uongo wako yeye ansema ukweli!.
"President Jakaya Kikwete said in Arusha on Thursday that at the moment the total length of tarmacked roads in Tanzania is 6,000 kilometres."
Wewe bila soni unasema Tanzania inazo kilimeta 6,000 + 11,154 = 17154km.
Ukiombwa takwimu unaleta zilizokarabatiwa, zinazokarabatiwa na za changarawe.
 
Kwa vile unapewa wewe ili kudanganya unaona sawa.
Ila nakushangaa maana unayemsaidia kwa uongo wako yeye ansema ukweli!.
"President Jakaya Kikwete said in Arusha on Thursday that at the moment the total length of tarmacked roads in Tanzania is 6,000 kilometres."
Wewe bila soni unasema Tanzania inazo kilimeta 6,000 + 11,154 = 17154km.
Ukiombwa takwimu unaleta zilizokarabatiwa, zinazokarabatiwa na za changarawe.
Anamtetea mtu ambaye hataki kwi! kwi! kwi!
 
zomba na Kibanga ampiga Mkoloni angalieni data mnazotumia nina shaka kubwa na uhalisia wake. naona data nyingi hazijawa updated. Nimeona hapo juu kwamba barabara ya Tanga - Horohoro iko 47% lakini ukweli ni kwamba ile barabara iko more than 95% completed. Nimetoka mombasa juzi nikapitia hiyo barabara nimeiona kwa macho yangu. Wakati mnabishana angalieni source ya data zenu.
Mkuu hata kama iko 100% sawa tunachotaka zomba atuambie 11,154km zilizojengwa na Kikwete katika uongozi wake.
Asiseme Magufuli kasema, sisi tunataka kuziona kwa macho. Tanzania ina jumla ya barabara zenye urefu wa 80,000km hii ni pamoja na barabara za mitaa. Sasa barabara za muhimu kama za mikoa zikiwekewa lami km 17,000 lazima tuzione hatuwezi kusubiri MAgufuri aseme!. Maana zile 5,000+km tulizofikia wakati wa Mkapa kila mtu aliona kichofanyika sasa iweje mara mbili ya zote hizi isionekane wazi mpaka iwe kwenye maandishi?.
 
Kwani zilikopwa kwaajili ya nini? kusaidia wananchi au kuziweka kwenye accounts zao huko uswis?

Wewe unajuwa maana ya "kusaidia wananchi"? unafikiri barabara, afya bora, vyuo vikuu, vyote hivyo sio kusaidia mwananchi. Mijitu mingine inafikiri kusaida mwananchi ni kumwambia chukuwa hizi pesa weka mfukoni.
 
Kwa vile unapewa wewe ili kudanganya unaona sawa.
Ila nakushangaa maana unayemsaidia kwa uongo wako yeye ansema ukweli!.
"President Jakaya Kikwete said in Arusha on Thursday that at the moment the total length of tarmacked roads in Tanzania is 6,000 kilometres."
Wewe bila soni unasema Tanzania inazo kilimeta 6,000 + 11,154 = 17154km.
Ukiombwa takwimu unaleta zilizokarabatiwa, zinazokarabatiwa na za changarawe.

Mnaambiwa msikurupuke, huyu ndio aliyoleta hizo data, tena hukuziandika kama zilivyo, sasa sijui huyo ni nani na hizo data zake zinatofauti ipi na Kikwete, au Kiingereza kimepita upande wa kushoto? mimi nilimquote Magufuli ambae data ni hizohizo lakini hakuzi roundup, Kikwete hapa kazi roundup na hizi data umeleta wewe: soma:

President Jakaya Kikwete said in Arusha on Thursday that at the moment the total length of tarmacked roads in Tanzania is 6,000 kilometres. The president was officially opening the 47th African Development Bank (AfDB) meeting when he said this. "Tanzania has a total road network that covers 80,000 kilometres.
However, there is a need to reduce the length of unpaved roads," he said. He added that there are ongoing efforts to pave 11,000 kilometres of the road network -- a job that is expected to be completed in three years' time. After construction projects are completed in 2015 the total length of paved roads will increase from 6,000 to 17,000 kilometres.
Source: Tanzania Daily News.
Fanya tena hesabu upya
 
Hapo kwenye kekundu fanya kinyume.
Nilipobold ni sawa lakini sababu ya kufikia hapo ni nguvu nyingine si utendaji wa Kikwete.

Na yawezekana tabia ileile ya mawaziri wa Kikwete kusema uongo inaendelea sema mhuusika ana bahati ya mtende hajastukiwa.

Iweje Waziri anatakwimu tofauti na Rais bosi wake, tena Rais anatoa takwimu kwa wahisani wa barabara hizo pale A Town?.
UDHAIFU MKUBWA KWA SERIKALI NA UPUUZI MWINGI BUNGENI!.

Tatizo lako hujui madaraka aliyonayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Mnaambiwa msikurupuke, huyu ndio aliyoleta hizo data, tena hukuziandika kama zilivyo, sasa sijui huyo ni nani na hizo data zake zinatofauti ipi na Kikwete, au Kiingereza kimepita upande wa kushoto? mimi nilimquote Magufuli ambae data ni hizohizo lakini hakuzi roundup, Kikwete hapa kazi roundup na hizi data umeleta wewe: soma:
Ukifanya hiyo niliyowekea uwekundu zinapungua urefu?.
Kwa hiyo unataka kusema Magufuli anahesabu hata zile barabara za kwenye mabohali kama zile za NSSF ubungo
Isije ikawa mnajumlisha na urefu wa daraja la kufikirika la kigamboni maana ulipoombwa takwimu ulileta na miradi iliyoko kwenye matayarisho!. Na Rais naye anasema kufikia 2015 "paved roads will increase from 6,000 to 17,000 kilometres."
Ukichukua 17,000 za mwaka 2015 ukatoa zilizopo sasa 6,000 unapata za kwako!.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom