King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
hahahaha! na kweli! proffesor nani vileee?
tatizo la waandishi wetu wa habari ni uvivu wa kufanya kazi yao. wakiambiwa wanaandika tu. hawawezi hata kuhoji ent wachache wajue procedure inafanyikaje na kwa nini hatuwezi kufanya hapa kwetu!
tatizo la waandishi wetu wa habari ni uvivu wa kufanya kazi yao. wakiambiwa wanaandika tu. hawawezi hata kuhoji ent wachache wajue procedure inafanyikaje na kwa nini hatuwezi kufanya hapa kwetu!
Zitto aliambiwa na Professor kuwa hawezi kufanyiwa hiyo 'surgery' hapa kwetu. Sasa wewe unaleta hizi taarifa zako ili upotoshe watu tu.