Zitto surgery tayari na anaendelea vizuri

Pole sana Zitto na Mungu akupe nguvu urejee tena kuendeleza harakati za kuishamirisha nchi yako kijamii na kiuchumi.

Shida yangu ni moja na kubwa nayo ni kwanini operesheni ndogo kama hii kwenda kufanyika India ambapo kunahitaji gharama kubwa kuanzia usafiri hadi operesheni yenyewe? Ni watanzania wangapi wenye uwezo wa kupata operesheni hii endapo itaendelea tu kutolewa india na kwingineko ughaibuni?

Changamoto ya kwanza Zitto ukirudi ni kutuhakikishia kuwa mtaibana vipi serikali kufutilia mbali huu utaratibu wa kuendelea kuwatibia viongozi wetu nje ya nchi kwa gharama kubwa kiasi hiki, huku wananchi maskini wakiwa hawana madawati na wengi wao wakiwa hawana uwezo wa kupata dawa za bei nafuu kutibia magonjwa ya kawaida. Nakutakeni mje na suluhisho, ili kesho na keshokutwa sote tuweze kuwalipa wataallamu wetu WATANZANIA kutufanyia tiba kama hizi. Tuachane na hii aibu
 
So the whole thing took four hours which tells something on how serious an infliction was.

Altogether thanks God that the process went successfully and the vibrant politico has yet another lifeline to continue his campaign against irresponsible CCM. His contribution to the nation is extremely important especially during this period when everything goes chaotic.

Hoping will come back to put more pressure on the crook Mkulo until he steps down.
Leo mwita umenena, haswa hapo kwa MKULO, we want him down kazi imemshinda
 
Mpiganaji wa wanyonge 'get well soon. Happy to hear that the operation was a sucess. May God help! you.
 
Huu ni ufidhuli; ina maana MNH hamna hiyo endoscopy. Wale watoto wa mbagala wanaomeza shilingi wanasaidiwaje
 
Zitto tunakuombea Mungu akusimamie upone haraka urudi salama ili uje kuliendeleza libeneke la mabadiliko
 
So the whole thing took four hours which tells something on how serious an infliction was.

Altogether thanks God that the process went successfully and the vibrant politico has yet another lifeline to continue his campaign against irresponsible CCM. His contribution to the nation is extremely important especially during this period when everything goes chaotic.

Hoping will come back to put more pressure on the crook Mkulo until he steps down.

Kwa mara ya kwanza toka nime join JF ndio umeongea point.....big up little bro!!!
 
Mungu amsaidie apone haraka.

Jamani haya ni maradhi yepi "kipanda uso"? Jee ndio hayo tunayoyafaham kama "sinus" au mengine?

Namuombea dua za kheri, arudi salama aendelee na shughuli zake za kila siku kwa amani na furaha.

Kumbe ilikuwa si Malaria pekee kama alivyotangaza mwanzo? kweli "binaadam hujafa hujaumbika".

Nawapa pole wote wa karibu yake wanaomuuguza Mheshimiwa Zitto Mwenyeezi Mungu awape imani ya ziada na awape wepesi mumuhudumie mgonjwa kwa kila hali.

Kwa hii ya juu nilidhani sasa umepata ufahamu na umepona; ila kwa hii iliyofuata hapa chini umerudi kwenye kale kaugonjwa kako ka UCCM....

Ndio maana huwa nasema hawa upinzani sijui nini ni uongo mtupu linapokuja swala la matibabu wakati wenzao wanakwenda kutibiwa nje wao huwa wa kwanza kujidai wanafuja hela hata Malaria tu wanaenda nje, hata mafua tu wanaenda nje, sasa kiko wapi?

Mbona hizo hizo Malaria na Mafua yamempeleka kutibiwa nje? kwa fedha hizo hizo za walala hoi.
 
Ndio maana huwa nasema hawa upinzani sijui nini ni uongo mtupu linapokuja swala la matibabu wakati wenzao wanakwenda kutibiwa nje wao huwa wa kwanza kujidai wanafuja hela hata Malaria tu wanaenda nje, hata mafua tu wanaenda nje, sasa kiko wapi?

Mbona hizo hizo Malaria na Mafua yamempeleka kutibiwa nje? kwa fedha hizo hizo za walala hoi.
huyu hakwenda India kutibiwa maralia taarifa zinasema maraila ilitibiwa Muhimbili, kilicho mpeleka India ni kipanda uso ambalo ni tatizo lililo msumbua kwa takribani miaka kumi
 
Aliyesema ni opereshen ndngo angefanyiwa hapa si kwel hakumtakia mema zito..hatuna vifaa na watalaam wa kutosha serikali waliangalie hili kwa makini..mwakyembe,mwandosyia,chami,zitto wote india eh..!
 
tatizo la kupeleka watu nje karibu kuisha kwani mengi amejenga hospitali ya kisasa moshi na kutakuwa na vifaa na mabingwa toka pande mbali mbali za dunia
 
Back
Top Bottom