jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Sijaelewa bado,its a bit confusing.Ili serikali iwataje waliopokea rushwa wakazipeleka hizo pesa kwenye akaunti ya uswisi,ni lazima serikali ikubali kwanza kuwa walipokea rushwa.
Nadhani hapa issue si kusema serikali iwataje,hapa cha muhimu ni kuwataja na kuweka ushahidi halafu serikali ndo iulizwe kama ni kweli ama si kweli na ishinikizwe kuchukuwa hatua.Kusema serikali iwataje isn't neccessarily a right step...
Nadhani hapa issue si kusema serikali iwataje,hapa cha muhimu ni kuwataja na kuweka ushahidi halafu serikali ndo iulizwe kama ni kweli ama si kweli na ishinikizwe kuchukuwa hatua.Kusema serikali iwataje isn't neccessarily a right step...